LGE2024 Dk. Slaa: CHADEMA haijajiandaa kushindana uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, atabiri kwamba watashindwa vibaya mno

LGE2024 Dk. Slaa: CHADEMA haijajiandaa kushindana uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, atabiri kwamba watashindwa vibaya mno

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
wananchi watasusia uchaguzi hadi lini?!
kwahiyo maneno ya dr. Slaa ni ya kweli?!

yapo mambo mengi ambayo vyama vya upinzani wanaweza kufanya ila wapo kmya tu. Sina imani nao hata kidogo

mimi sipo ktk chama chochote, ila siasa ya Tz, ni usanii, kupoteza muda, hamna upinzani wa kweli, na ccm itaendelea kutamba na kutawala wasiojielewa kwa kipindi kirefu
Ndio nikasema anzisha chama ili kifanye vile unavyoona boss. Au ww umeridhika kutawaliwa muda mrefu na ccm?
 
Ndio nikasema anzisha chama ili kifanye vile unavyoona boss. Au ww umeridhika kutawaliwa muda mrefu na ccm?

Ujue we jamaa ni m'bishi sana

iwe hivi, katiba mpya ya warioba, tume huru ya uchaguzi sio hii ya sasa, haki ya kuwepo mgombea binafsi, hapo hata mimi nitagombea ubunge au urais kwa tiketi ya mgombea binafsi

hakuna chama cha upinzani hapa nchi, wote ni matapeli, walaghai, wasanii wanaolipwa na CCM hawana jipya na tumeshawajua ndio maana hata wakiitisha maandamano raia hatushirikiani nao
 
Kwani Slaa alipinga kuuzwa bandari kuwaunga mkono akina Mbowe au alipigania maslahi ya nchi kama walivyofanya watanzania wengine?
Wewe si umesema alikuwa anapigania maslahi yake ndio maana nikakuuliza mbona hakua pekee yake aliyepigania kulikuwa na kina Mbowe na Lissu Je na wao pia walikuwa na maslahi nayo kulingana na hoja yako ulioijenga
 
Kama ni mufilisi sasa kwanini mnahangaika nacho
Huwezi hangaika na kitu ambacho ni mufilisi utakua na matatizo ya akili

Chadema waangaike na msaliti slaa watakua na matatizo ndo maana wamempuuzia
Chadema ni mali ya umma…si kila sku mnasema mnataka wanachama wapya?! Kama hamtaki iambiwe ukweli muifute kwenye siasa za Tanganyika.
 
Kama John Mrema alipewa bia ngumu aina ya Safari akaharibu uchaguzi jimbo la nyasa, huyo hawezi kuacha pombe, hata sauti yake inakoroma kama ya mchungaji mashimo. Huwa anapiga safari miksa kvant
Kwamba lile kapi lenu msigwa tulilolishtukia tukalipiga chin ndio limewaingia Kwa gia hio na nyie Kwa kuwa ni wajinga limewaingiza mkenge kama hujui nakupa taarifa ccm hakuna mtaa mtashinda labda Kanda za wajinga wajinga.
 
Siasa nchi hii inachelewesha mambo kwasababu hailing matatizo yanayotukabili wananchi.
Tatizo siyo Chama tatizo ni waajiliwa wote wa Chama na Serikali kutotaka kutimiza wajibu wao na mara nyingi wanafanyakazi kwa manufaa yao mfano wa baadhi ya sector kama vile Hosptali,Polisi na Ardhi kuna kero ambazo zinachangia matatizo mengi katika nchi yetu na hakuna asiye jua kuyaondoa haya ni kupata waajiliwa sahihi na si vyama vya siasa
 
Slaa ameongea ukweli
wapinzani wapo kama hawapo wanafanya siasa za matukio sio za kimkakati

wanasiasa badala wapinge uchaguzi kwa sababu ya sheria na usimamizi mbovu wao wapo kmya, suala la katiba mpya nalo wapo kmya

hawana msaada wowote, labda wamenunuliwa kama dr. Slaa
Lissu alisema kwamba aliyemfuata kumpa hela, alimwambia wenzake wengi wameshapokea
 
some time bora kukaa pemben kuacha wajichague wenyewe wajae weng huko kweny kamat zao mtu unaona mwiz kila ukilinda mali anatumia mbinu anaiba kinachofuata nikumpelekea hukohuko akaibe vzr ccm hata ufanyaje ni wez balaa
 
Amesema ukweli kabisa
Very poor organization
Chama kinajengwa kutokea chini mitaani
Sio juu kwa kurusha chopa na mkiti

Kila ikitoka hela ya ruzuku, mwenyekiti anakodi chopa kwenye kampuni yake ya Kenya, hela zote zinaishia huko.
 
Hii ni kweli kabisa. Walipoteza timing sana hapa. Wakaanza harakati za mandamano japo walikua na sababu lakini wakati ulikua unawaacha kwa kasi sana. Hapo hapo walikua busy na uchaguzi wao wa ndani. KUSEMA UKWELI HUU UCHAGUZI NI KAMA UMEWAKUTA SINGIZINI. YAANI WAMEAMKA WAMEKUTA WATU WANAFUNGA VITUO VYA KUPIGIA KURA.
 
some time bora kukaa pemben kuacha wajichague wenyewe wajae weng huko kweny kamat zao mtu unaona mwiz kila ukilinda mali anatumia mbinu anaiba kinachofuata nikumpelekea hukohuko akaibe vzr ccm hata ufanyaje ni wez balaa
Madaraka matamu. Hata wakiingia wengine kama mshindani hajajipanga kulinda chake atainiwa tu. Kipindi cha Bush marekani kama sikosei ilibidi warudie kuhesanu kura kwa mkono 😆😆😆. Binadamu wote wezi tu tusidanganyane.
 
Wezi wameamua kukomalia madaraka kwa Gharama yoyote ile.
 
Wezi wameamua kukomalia madaraka kwa Gharama yoyote ile.
Chadema bado wanakula na kujilambalamba ile ruzuku waliyopewa, mwingine ana fupa la nyama, mwingine ukoko wa pilau
 
Nguli, na kigogo, Cingwiyemisi wa siasa za upinzani, Dk Slaa, ametabiri kipigo kitakatifu kwa Chadema katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Slaa amesema chama hicho hakina maandalizi, na kimekata tamaa
CHADEMA ni kama wana resources za kuchezea. Kati ya uchaguzi ambao walipaswa wajitoe mapema sana ni huu wa serikali za mitaa 2024!

Hiki kinachoendelea ground ni maandalizi makubwa ya uchafuzi badala ya uchaguzi!
 
Ujue we jamaa ni m'bishi sana

iwe hivi, katiba mpya ya warioba, tume huru ya uchaguzi sio hii ya sasa, haki ya kuwepo mgombea binafsi, hapo hata mimi nitagombea ubunge au urais kwa tiketi ya mgombea binafsi

hakuna chama cha upinzani hapa nchi, wote ni matapeli, walaghai, wasanii wanaolipwa na CCM hawana jipya na tumeshawajua ndio maana hata wakiitisha maandamano raia hatushirikiani nao
Narudia tena, anzisha chama kifanye utakavyo.

Ni kweli hakuna chama cha upinzani hadi wakiitisha maandamani hamtokei, lakini mbona hao hao wananchi hawajitokezi kujiandikisha kupiga kura sasa hadi inatumika nguvu ya ziada wakati hawana hatari ya kupigwa mabomu?
 
Back
Top Bottom