LGE2024 Dk. Slaa: CHADEMA haijajiandaa kushindana uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, atabiri kwamba watashindwa vibaya mno

LGE2024 Dk. Slaa: CHADEMA haijajiandaa kushindana uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, atabiri kwamba watashindwa vibaya mno

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wasuse!!?waingie mzigoni!!?

Nimemiumbuka kinana walau aliwapa matumaini!

Kwasasa sioni tena.hata dalili!!
 
Dr Slaa uliitweza Chadema kwenye siku zile muhimu mwaka 2015 leo umepata wapi huruma dhidi ya chama hicho?
Hukuinua ulimi wako kwenye fujo za uchaguzi kama huu mwaka 2019 na wala hukusema chochote kwenye maigizo ya uchaguzi mwaka 2020!!
Mzee Unafiki unakutafuna
 
Dr Slaa uliitweza Chadema kwenye siku zile muhimu mwaka 2015 leo umepata wapi huruma dhidi ya chama hicho?
Hukuinua ulimi wako kwenye fujo za uchaguzi kama huu mwaka 2019 na wala hukusema chochote kwenye maigizo ya uchaguzi mwaka 2020!!
Mzee Unafiki unakutafuna
Wew jadili hoja yake aliyotoa sio kuleta hadithi za sungura na kenge… Cdm ni mufilisi tu nothing else
 
Wew jadili hoja yake aliyotoa sio kuleta hadithi za sungura na kenge… Cdm ni mufilisi tu nothing else
Kama ni mufilisi sasa kwanini mnahangaika nacho
Huwezi hangaika na kitu ambacho ni mufilisi utakua na matatizo ya akili

Chadema waangaike na msaliti slaa watakua na matatizo ndo maana wamempuuzia
 
Dr Slaa uliitweza Chadema kwenye siku zile muhimu mwaka 2015 leo umepata wapi huruma dhidi ya chama hicho?
Hukuinua ulimi wako kwenye fujo za uchaguzi kama huu mwaka 2019 na wala hukusema chochote kwenye maigizo ya uchaguzi mwaka 2020!!
Mzee Unafiki unakutafuna
Alivyopinga pinga kununuliwa kwa bandari ya dar mbona hukuzungumza haya maneno?
 
Kupinga bandari ulikuwa mradi wake ili ajipatie chochote atulie kama alivyofanya kwenye uchaguzi wa 2015.
Ila kumbuka kwenye hiyo issue Kuanzia mwenyekiti wako Mbowe,Lissu wote kwa pamoja waliungana kupinga bandari isiuzwe so unamaanisha yalikuwa yana maslahi kwa wote hao
 
Ila kumbuka kwenye hiyo issue Kuanzia mwenyekiti wako Mbowe,Lissu wote kwa pamoja waliungana kupinga bandari isiuzwe so unamaanisha yalikuwa yana maslahi kwa wote hao
Kwani Slaa alipinga kuuzwa bandari kuwaunga mkono akina Mbowe au alipigania maslahi ya nchi kama walivyofanya watanzania wengine?
 
Nguli, na kigogo, Cingwiyemisi wa siasa za upinzani, Dk Slaa, ametabiri kipigo kitakatifu kwa Chadema katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Slaa amesema chama hicho hakina maandalizi, na kimekata tamaa
Ni wapi amesema hayo matamanio yako kwenye hiyo clip? Wananchi wameshaonyesha hakuna uchaguzi bali upuuzi kama upuuzi mwingine. Na sio uchaguzi huu tu wananchi wameupuuza, hata huo mkubwa hakuna atakayekuwa na muda nao kwa mazingira haya. Hivyo chukueni hela za waarabu mje mtengeneze mafuriko fake.
 
Slaa ameongea ukweli
wapinzani wapo kama hawapo wanafanya siasa za matukio sio za kimkakati

wanasiasa badala wapinge uchaguzi kwa sababu ya sheria na usimamizi mbovu wao wapo kmya, suala la katiba mpya nalo wapo kmya

hawana msaada wowote, labda wamenunuliwa kama dr. Slaa
Ni hivi, sisi wananchi tumepuuza huo ushenzi uitwao uchaguzi. Uzuri cdm hawajasusia maana mngesema ni ususiaji uliofanywa na chama cha siasa. Lakini huu ususiaji ni wetu sisi wananchi. Hakuna kelele haijapigwa kuhusu ubovu wa huo uchaguzi, kuna hadi kesi ya kuzuia Tamisema wasisimae uchaguzi, lakini mahakama inajivuta tu. Katiba mpya imeshadaiwa sana, ila mnatumia vyombo vya dola kuteka watu ili waogope. Anzisha chama ufanye siasa za kimkakati boss hakuna anayekuzuia.
 
Huyu ndio Slaa tunaemjua
1000012570.jpg
 
Ni hivi, sisi wananchi tumepuuza huo ushenzi uitwao uchaguzi. Uzuri cdm hawajasusia maana mngesema ni ususiaji uliofanywa na chama cha siasa. Lakini huu ususiaji ni wetu sisi wananchi. Hakuna kelele haijapigwa kuhusu ubovu wa huo uchaguzi, kuna hadi kesi ya kuzuia Tamisema wasisimae uchaguzi, lakini mahakama inajivuta tu. Katiba mpya imeshadaiwa sana, ila mnatumia vyombo vya dola kuteka watu ili waogope. Anzisha chama ufanye siasa za kimkakati boss hakuna anayekuzuia.

wananchi watasusia uchaguzi hadi lini?!
kwahiyo maneno ya dr. Slaa ni ya kweli?!

yapo mambo mengi ambayo vyama vya upinzani wanaweza kufanya ila wapo kmya tu. Sina imani nao hata kidogo

mimi sipo ktk chama chochote, ila siasa ya Tz, ni usanii, kupoteza muda, hamna upinzani wa kweli, na ccm itaendelea kutamba na kutawala wasiojielewa kwa kipindi kirefu
 
Back
Top Bottom