Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS njoeni huyu mzee ameanza tenaaa!!Hoja hupingwa kwa hoja:
View attachment 2676293
Ukweli mchungu:
"Mkataba wa DP World ni mmoja akiita jiwe hata mwenda wazimu hawezi kuusaini."
Heshima kwake Dk. Slaa.
Usisahau kumuita na Mwaipopo ili tuwabinue kwa pamojaLord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS njoeni huyu mzee ameanza tenaaa!!
Lord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS njoeni huyu mzee ameanza tenaaa!!
Kwahiyo? Muwe mnaacha uzwazwa wakati mwingine.Ni kweli tumeuzwa.
Na waliotuuza ni CCM na viongozi wake ambao ndio hao hao waliwahi kumnunua Dr.Slaa 2015 ili aisaliti CHADEMA na kisha kumhonga ubalozi Sweden.
U gotta nailed very hard in that steak!!Kwahiyo? Muwe mnaacha uzwazwa wakati mwingine.
Lazima ujue unapigania Nini, Ila Kama Ni shabiki wa siasa na vyama vyake, wewe Ni tahira tu.
Hichi kizee kisaliti sana kitulie kihangaike na mshumbushi sio kitupigie kelele mbona yale makinikia feki ya magu kilikaa kimya hiki kiajuza?Hoja hupingwa kwa hoja:
View attachment 2676293
Ukweli mchungu:
"Mkataba wa DP World ni mmoja akiita jiwe hata mwenda wazimu hawezi kuusaini."
Heshima kwake Dk. Slaa.
Hichi kizee kiliasi kanisa kinatupotezea watu wakati kumbuka hichi kizee wakati wa magu kilisema Tundu lisu alipigwa risasi na ChademaMbona hata kwenye clip hii tu Dk. Slaa yupo wazi mno ya nini kinachogomba?
Tuseme wenzetu nyie mmeamua kuacha kusikia kwa makusudi tu?
Hoja si hupingwa kwa hoja ndugu? Za Slaa hizo hapo. Zenu ziko wapi tuzione, tusikie au tuzisome?
Mimi tokea hichi kiajuza kihongwe kwenda kuichafua chadema mwaka 2015 pale movenpick sikiamini hata chembe kinalaana ya kanisa hichi kibabuLord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS njoeni huyu mzee ameanza tenaaa!!
Naona hichi kibabu kimeshakuingiza kingi na wewe umesahau usaliti wake mwaka 2015?Tumeuzwa tena kwa bei chee!!