Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,236
- 4,746
Kuna Mahakama za watotoWatoto wa kiume wanaowabebesha mimba, watakuwa wanahifadhiwa Korokoroni. Sema nn, na wasichana wapunguze ge.nye.
Kazi zake ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Mahakama za watotoWatoto wa kiume wanaowabebesha mimba, watakuwa wanahifadhiwa Korokoroni. Sema nn, na wasichana wapunguze ge.nye.
Hujataka tu kuzitambua hoja zangu!Ndugu sidhani kama katika hili kuna U CCM na Upinzani, ni swala la Cultural and values za jamii yetu.
Hili sio swala la Mh. Rais wala CCM, ni swala sheria za nchi toka awali.
Kama umepita pita kwenye sekta ya elimu unaweza ukawa na mtizamo tofauti na hisia zako.
Sheria za shule, miongozo inayotolewa kuhusu mimba mashuleni ikiwa ni pamoja kitabu cha Kiongozi cha Mkuu wa Shule na Vyuo (1997) kilichotolewa na Wizara ya Elimu na Utamaduni zinasema wazi wazi makosa yanayoweza kumfukuzisha shule mwanafunzi ni pamoja KUMPA MTU MIMBA au Kupata Mimba wala si swala lililoasisiwa na JPM wala CCM ni swala la sheria za nchi.
Kama kutakuwa na mapungufu basi ni swala la wizara husika kurekebisha na si kumbebesha mtu au chama flani.
Umeuliza kama "tumepima madhara kama akirejea darasani ikishakaa na ananyonyesha" kutakuwa na madhara gani. Ni vema ukatambua kwamba sheria zinapotungwa zinakuwa zimezingagia si tu Falsafa inayoongoza nchi katika eneo hilo Bali pia huwa utafiti wa kina umefanyika. Je unaweza kumuadhibu mama mwenye kichanga cha miezi mitatu pale anapokosea kama ukiwa mwalimu?...he unajua atapata utulivu upi darasani wa kuzingatia masomo akiamua mume wake, mtoto na cha kumnyonyesha mwanae?...sasa kwa nini tusiwaruhusu wazee na wabibi waliokosa elimu kusoma katika madarasa ya kawaida na bint yako ambaye hajavunja ungo darasa moja?....he unajua umuhimu wa Peter peer grps katika kusoma?
Namba tatu unauliza vipi kwa mwanafunzi mwenzake aliyempa mimba? ...he unajua juvenile court unakazi gani?
Kifupi huna hoja.
Kabisa mkuu,umeandika jambo kubwa sana ila hawa watu hawawezi kufungua akili zao!Kipindi cha nyuma walikuwa wanaondolewa shuleni kutokana na hali zao za Mimba,ila baadaye walirejea na mambo yalienda vizuri tu!Hakukuwa na mgogoro wowote,nini kimemkumba JPM mpaka kuliibua hili?Taifa hili si familia,unaweza kukuta kwenye familia mtu ndio msimamo wake huo,mtoto anapewa nafasi moja tu,akiharibu ndio basi!Sasa mambo kama hayo kuyaleta kwenye kutawala nchi inakuwa tatizo!Ndugu yangu hawatakuelewa hata kidogo. Wao na JPM wao! Wangekuwa wanaunga mkono maagizo ya Mungu hivyo hii nchi ingekuwa ya walokole! Tangu tupate uhuru hizo mimba zipo. Waathirika wapo wengine ni wakurugenzi katika mashirika ya umma na kampuni binafsi. Hilo hushughulikiwa kwa busara. Wote wanaopata ujauzito kwa sababu tofauti tofauti, mimba huwafukuza shule! Haiwekani kuhudhuria masomo na mimba. Hilo haliingii akilini. Wengi wao baada ya kujifungua hurudi shule. Hapa ndipo hutumika busara. Mhusika ataendelea na shule wapi na kivipi halikuwa tatizo.
Ile tu kusema sitasomesha mzazi ina maana walikuwa wanasoma! Huyo anayekataa alikuwa mbunge na kwenye baraza la mawaziri miaka 20. Miaka yote hiyo asijifunze hekima iliyokuwa inatumika! Tatizo la nchi za vita ya wenyewe kwa wenyewe huwa ni hilo la kukosa maarifa. Kila mmoja anasema yeye 'mwanaume bwana' Hapo ni risasi au panga tu! Huyu ukimkalisha chini ukamuuliza tatizo kwani liko wapi? Jibu utalopata: kwenye utawala wangu sahau kitu kama hicho. Nimeishasema. Mimi sio wachezomchezo. Kama hunifahamu uliza!
Haya ni mawazo yako and as long as you have an identity huwezi kusema ukweli wako. Ukisema kinyume, UNAO!Hawa watoto hii sheria ya miaka 30 jela ndiyo wameamua kuifanya ngao ya kuendelea kufanya ushenzi wao, wanajua hawaguswi wakikutwa ni balaa kwa mwanaume tu. Hawa feminist waliyoipigia debe ipite, walifikiria kutetea jinsia yao na si kuzuia tatizo. Wanatongoza badala ya kutongozwa
Hizi mimba ndiyo zinazidi na ukisema umrudishe alozaa, ndiyo ataenda shawishi wengine nao waendeleze huo mchezo. Mwishowe darasa litakuwa na wazazi watupu, watoto wanamaliza shule ni wazazi.
Kuwakataza wasirudi, inawapa somo wengine kuwa hiko kitu siyo na wakiepuke. Ila kuruhusu warudi kutaongeza mfumuko wa mimba, maana ile sheria ndiyo imewapa go ahead ya kufanya ujinga wao.
takataka zingine usibishane nazo.Eti tukiruhusu watoto waliojifungua unasema basi vikongwe warudi kusoma na watoto maana ni kitu hicho hicho!
Hivi mtoto akipewa mimba ndio umri unaongezeka na anakuwa mtu mzima?
Kijana wa kiume mwenye miaka 15 kampa mimba mtoto wa kike mwenye miaka 15!Inamaana wa kike anakuwa mtoto na wa kiume anakuwa mtu mzima?Hakuna mtoto anampa mimba mtoto mwenzake, tumia akili sawa, mimba inawekwa na mtu aliekomaa kutoa mimba, awe na umli mdogo hata kama anasoma ataenda jela tu, au hilo nalo hujui?
Wanachosha sana hawa jamaa!takataka zingine usibishane nazo
Inashangaza....Hapo ndio kumaanisha wametofautiana? Au msimamo wa serikali upo palepale? Maana Abdul Nondo anataka warudi shuleni baada ya kujifungua kama nani?
Wanapewa mimba na vibabu..vinafungwa 30yrsJe watoto wakiume wanaowabebesha mimba wafanyweje?
Hili tatizo ni gumu kuisha kwa kumuazibu mwanaume aliefanya hvyo njia pekee ni kuwapatia dawa za uzazi wa mpango wasichana wa shuleWewe ni mojawao?Umefahamuje ni makusudi wanafanya?Huwa wanabebeshwa mimba kama ndoo ya Maji?Hukumu ya wanaowapa ujauzito nayo iwe kuhasiwa,maana hiyo ndiyo angalau italingana na hukumu Kali ya kifungo cha ujinga kwa maisha yao yote.
Tuwe fair,tutafute namna ya kuwahakikishia wasichana hawapati ujauzito,wanaowabebeaha ujauzito wapewe adhabu itakayotoa funzo kwa wanaotarajia kujihusisha na wanafunzi kingono(wabakaji) badala ya kuwahukumu wahanga.
Sheria ile ile inayotumika kwa mtoto wa kike ndio inayotumika kwa mtoto wa kiume iwapo itathibitika ndiye aliyempa ujauzito mtoto wa kike. Tatizo mara nyingi linakuja kwenye "kuthibitisha".Je watoto wakiume wanaowabebesha mimba wafanyweje?
Dawa zinaweza kuwa one of the solutions,je kuna utafiti wa kisayansi kuonyesha sababu za mimba za utotoni?Huwezi kutatua tatizo bila kufahamu asili yake.Hili tatizo ni gumu kuisha kwa kumuazibu mwanaume aliefanya hvyo njia pekee ni kuwapatia dawa za uzazi wa mpango wasichana wa shule
Dawa zinaweza kuwa one of the solutions,je kuna utafiti wa kisayansi kuonyesha sababu za mimba za utotoni?Huwezi kutatua tatizo bila kufahamu asili yake.Hili tatizo ni gumu kuisha kwa kumuazibu mwanaume aliefanya hvyo njia pekee ni kuwapatia dawa za uzazi wa mpango wasichana wa shule