Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Mkuu, hata Kama niliishia vidudu, ya 1 Ina ukakasi mno
Upo sahihi 100% na kuna Watu hapa bado hawajajua kuwa GENTAMYCINE ukiona nimeanzisha Uzi Chokonozi ( Uzi Nongwa ) hapa JamiiForums juu ya ama Jambo fulani au Kitu fulani jua kuna 'Tatizo' nimeliona mahala hivyo nataka 'tulirekebishe' Kimjadala zaidi ili wengine wasije Kurudia makosa yale yale.
 
Upo sahihi 100% na kuna Watu hapa bado hawajajua kuwa GENTAMYCINE ukiona nimeanzisha Uzi Chokonozi ( Uzi Nongwa ) hapa JamiiForums juu ya ama Jambo fulani au Kitu fulani jua kuna 'Tatizo' nimeliona mahala hivyo nataka 'tulirekebishe' Kimjadala zaidi ili wengine wasije Kurudia makosa yale yale.
Makosa ya lugha waende shule tu hakuna namna mkuu sio wanatujazia vyeti kumbe wafunga Tai tuu...
 
hakutakiwa tu kuweka 'is'.
Sasa kama angekuwa anakijua vyema Kiingereza pamoja na Kujigamba Kwake kuwa na 'Doctorate' huku akiwa 'Mjivuni' na mwenye 'Dharau' sana angekosea hivyo kwa kuiweka hiyo 'is' yako Mkuu?
 
NO 3 Na 4
Zote ni sahihi kabisa.
Ila penda usipende Tanzania isipobadilisha mfumo wa Elimu, Itaendelea kubakia na sizitaki mbichi hizi Kumbe imeshindwa kuzifikia
Wasomi Tanzania wengi ni fake products from our universities.
Sasa mtu kama Abbas hajui singular and plural hajui wala Sentence kwamba anaiongelea wakati gani na atumie nini
 
Hahaha
Mi huwa naamua kutumia lugha yangu tu kuepuka kuwaumiza watu masikio yao
😂😂 Mkuu ukitaka kujua kingereza usiogope watu watakukosoa vipi, just try the best you can, then ukikosolewa ndio utajua jinsi ya kujirekebisha.
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Zote ni sahihi isipokuwa hiyo ya kwanza aliyotumia Mheshimiwa.

Amandla...
 
Back
Top Bottom