Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Hahaha
Mi huwa naamua kutumia lugha yangu tu kuepuka kuwaumiza watu masikio yao
Wengine mnadhani tunavyopenda kutumia sana Kiswahili kila mahala tunapenda na labda hicho Kiingereza hatukitamani? Ukweli ni kwamba tunakiogopa zaidi ya Ukoma na Corona.
 
Mwenyewe ameiona ni sawa, lugha imekuja na meli hii mkuu ukimchunguza bata huwezi kumla ilimradi ameeleweka just leave it right there!.
KIINGEREZA hata waingereza wenyewe kinawasumbua mfano ona mwalimu wa kenya alivyosahihisha kiingereza kibovu kilichotolewa na familia ya malkia wa uingereza

A teacher based in Kenya’s capital Nairobi, Mwalimu Joshua Njenga has detected some grammatical errors in the statement issued by the Buckingham Palace on Teusday, March 9 with regard to Prince Harry and Meghan Merkle’s interview with Oprah.


In a viral post on Facebook, Njenga highlighted what he believed were ‘errors’ contained in the statement, introducing the wordings he thought would be appropriate instead.


Njenga said he had a debate with his students who noted the statement was grammatically faulty right from the header to the closing sentence, pointing out the unnecessary wordings that had been carried therein.


Dear Buckingham Palace, In my morning class, we discussed the difference between active and passive writing, and we used your statement for practice. I asked my students to rewrite it using active language. Here is what they did.” he said in a caption before sharing the ‘corrected statement’



1619678685141.png
 
"Reforms are going on in our Ministry" inatosha, sidhani kama kuna haja ya kuweka "A lot" na makorokocho mengine.
Nadhani ukisema hivyo haitoshelezi, inabidi uweke vijimaneno mbele ya reforms. "A lot" kama unamsahihisha Mheshimiwa au " There are reforms going on in our Ministry" au kama mvivu " we are reforming our ministry". Kuna njia nyingi za kumchuna mbuzi.

Amandla....
 
Mwenyewe ameiona ni sawa, lugha imekuja na meli hii mkuu ukimchunguza bata huwezi kumla ilimradi ameeleweka just leave it right there!.
Hebu acha Kutetea Upopoma ( Upumbavu ) tafadhali sawa? Mtu wa Hadhi yake na anajulikana kwa Kujisifia kuwa Kasoma sana na Mwerevu mno kamwe hawezi Kuzungumza Kiingereza 'Broken' kama hicho. Usinilazimishe nianze Kutupuuza ( Kukudharau ) na Wewe hapa sawa?
 
KIINGEREZA hata waingereza wenyewe kinawasumbua mfano ona mwalimu wa kenya alivyosahihisha kiingereza kibovu kilichotolewa na familia ya malkia wa uingereza

A teacher based in Kenya’s capital Nairobi, Mwalimu Joshua Njenga has detected some grammatical errors in the statement issued by the Buckingham Palace on Teusday, March 9 with regard to Prince Harry and Meghan Merkle’s interview with Oprah.


In a viral post on Facebook, Njenga highlighted what he believed were ‘errors’ contained in the statement, introducing the wordings he thought would be appropriate instead.


Njenga said he had a debate with his students who noted the statement was grammatically faulty right from the header to the closing sentence, pointing out the unnecessary wordings that had been carried therein.


Dear Buckingham Palace, In my morning class, we discussed the difference between active and passive writing, and we used your statement for practice. I asked my students to rewrite it using active language. Here is what they did.” he said in a caption before sharing the ‘corrected statement’



View attachment 1768448
Maelezo mengi halafu Upuuzi mtupu tu.
 
KIINGEREZA hata waingereza wenyewe kinawasumbua mfano ona mwalimu wa kenya alivyosahihisha kiingereza kibovu kilichotolewa na familia ya malkia wa uingereza

A teacher based in Kenya’s capital Nairobi, Mwalimu Joshua Njenga has detected some grammatical errors in the statement issued by the Buckingham Palace on Teusday, March 9 with regard to Prince Harry and Meghan Merkle’s interview with Oprah.


In a viral post on Facebook, Njenga highlighted what he believed were ‘errors’ contained in the statement, introducing the wordings he thought would be appropriate instead.


Njenga said he had a debate with his students who noted the statement was grammatically faulty right from the header to the closing sentence, pointing out the unnecessary wordings that had been carried therein.


Dear Buckingham Palace, In my morning class, we discussed the difference between active and passive writing, and we used your statement for practice. I asked my students to rewrite it using active language. Here is what they did.” he said in a caption before sharing the ‘corrected statement’



View attachment 1768448
Unamwamini mkenya kuliko waandishi wa Malkia? Hili tamko lilitolewa kuonyesha kuwa wao pia ni familia kama familia nyingine na wanawapenda ndugu zao, ndio maana wakajiepusha matumizi ya neno royal na kutumia lugha inayo onyesha warmth na sio ubaridi wa formal language.

Amandla...
 
Lugha ni chombo cha mawasi;iano tu kitu muhimu ni kueleweka unamanisha nini angeweza hata sema many reform are in my all offices
 
Back
Top Bottom