GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Upo sahihi 100% na kuna Watu hapa bado hawajajua kuwa GENTAMYCINE ukiona nimeanzisha Uzi Chokonozi ( Uzi Nongwa ) hapa JamiiForums juu ya ama Jambo fulani au Kitu fulani jua kuna 'Tatizo' nimeliona mahala hivyo nataka 'tulirekebishe' Kimjadala zaidi ili wengine wasije Kurudia makosa yale yale.Mkuu, hata Kama niliishia vidudu, ya 1 Ina ukakasi mno
Hahahaπππ sasa utafanyaje mkuu lugha za watu hizo huweti kupatia kila neno kwa % 100.
Ukimuambia arudie hapo utaona anaongea kitukingine wacha ibaki ivyo ivyo tu.
Makosa ya lugha waende shule tu hakuna namna mkuu sio wanatujazia vyeti kumbe wafunga Tai tuu...Upo sahihi 100% na kuna Watu hapa bado hawajajua kuwa GENTAMYCINE ukiona nimeanzisha Uzi Chokonozi ( Uzi Nongwa ) hapa JamiiForums juu ya ama Jambo fulani au Kitu fulani jua kuna 'Tatizo' nimeliona mahala hivyo nataka 'tulirekebishe' Kimjadala zaidi ili wengine wasije Kurudia makosa yale yale.
Dharau nyingi kumbe Kiingereza tatizo.Abass anaonekana mshamba bado..
Arrogance..na entitlement vinamsumbua
Mwenyewe ameiona ni sawa, lugha imekuja na meli hii mkuu ukimchunguza bata huwezi kumla ilimradi ameeleweka just leave it right there!.Kwako Wewe hiyo #1 ni sawa tu 100%?
Hata wewe mwenyewe umejifunza kitu japokuwa umekuja kivingine.Upumbavu wa kujifanya unajua.
Sasa kama angekuwa anakijua vyema Kiingereza pamoja na Kujigamba Kwake kuwa na 'Doctorate' huku akiwa 'Mjivuni' na mwenye 'Dharau' sana angekosea hivyo kwa kuiweka hiyo 'is' yako Mkuu?hakutakiwa tu kuweka 'is'.
Aisee nenda kadai ada yako kwa mwalimu aliyekufundisha kingereza.Zote sawa tu, ilimradi ameeleweka.
Kueleweka zaidi na nyie Mapopoma tu.Miner grammatical errors are allowed when we speak than when we write. Kweli cha muhimu kaeleweka.
ππ Mkuu ukitaka kujua kingereza usiogope watu watakukosoa vipi, just try the best you can, then ukikosolewa ndio utajua jinsi ya kujirekebisha.Hahaha
Mi huwa naamua kutumia lugha yangu tu kuepuka kuwaumiza watu masikio yao
Miner?Miner grammatical errors are allowed when we speak than when we write. Kweli cha muhimu kaeleweka.
Wapishe Intellectuals hapa JF waujadili huu Uzi tafadhali na acha Kunipotezea muda. Na sijifanyi tu najua bali ninajua kweli kweli Mpuuzi Mmoja Wewe.Upumbavu wa kujifanya unajua.
ππππ siendi mkuu kinanitosha sana hicho.Aisee nenda kadai ada yako kwa mwalimu aliyekufundisha kingereza.
Huyo Mpuuzi yaani nimemdharau zaidi.Aisee nenda kadai ada yako kwa mwalimu aliyekufundisha kingereza.
Zote ni sahihi isipokuwa hiyo ya kwanza aliyotumia Mheshimiwa.Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Ninakubaliana nawe hapa tena 100% tu.No 2 is dope π