#COVID19 Dkt. Akwilapo: Kwanini wathibiti Ubora wa Elimu Mashuleni hamvai barakoa?

Halafu siku hizi kumhamisha mtoto kutoka sekondari ya serikali kwenda ya binafsi - mh.. Utahangaishwa wee, sijui!!
Kumbuka wote wanaomaliza darasa la 7 hupangwa shule za serikali - sasa njoo umhamishe mtoto!
 
OTE="OKW BOBAN SUNZU, post: 41006198, member: 52569"]
Msako waja kwa watakaosomesha wanafunzi likizo

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Leonard Akwilapo ametoa agizo kwa wathibiti wa ndani wa elimu nchini kufanya msako kwa watakaosomesha wanafunzi kipindi cha likizo.

Pia, Dk Leonard Akwilapo amesema kutatolewa kutatolewa barua kwa shule zote sa Serikali na binafsi kuweka msisitizo wa utekelezaji wa agizo hilo ambalo hivi karibuni Serikali ililitoa.

"Kupitia hadhira hii nawaagiza maofisa udhibiti kipindi hiki cha likizo hakikisheni mnafanya msako kuwabaini wanaokiuka agizo hili la Serikali la kuwataka watoto wapumzike na katika kuweka msisitizo hilo tutazipa barua shule zote," amesema Katibu huyo.

"Ni muhimu kufuata ratiba za mihula ya masomo kwani kumeibuka siku hizi makamishna wengi wa elimu huko mashuleni mpaka wanasiasa, nasema kamishna ni mmoja tu wa elimu nchi hii anayepanga ratiba za masomo, hivyo ni vema ikafuatwa,"amesisitiza Katibu huyo.

Amesema hata tabia ya kuwaamsha watoto saa kumi usiku kusoma sio sawa na badala yake wanajikuta wanakariri badala ya kutafakari kile walichofundishwa.

My Take
Sina shida na hoja ya serikali. Kero yangu ni kwa nini iwe lazima mpaka kwa mtu binafsi na mwanae? Kwani mwanangu akitwishwa mzigo wakati wa likizo mnapungukiwa nini?
Haya mahaba kwa nini msiyaonyeshe kwenye kuajiri walimu wa kutosha mpaka kusaza.

Darasa moja wanafunzi 100 kuna nini hapo? Vipi na sisi wazazi tuanzishe msako kwa waziri kuhusu watoto wetu 100 kujazana darasa 1?

Sisi tulioponea tuisheni tunajua unyeti wake. Kuna shule hazina kabisa walimu kwa baadhi ya masomo,inabidi ukasome tuisheni. Kuna hawa A Level mambo kibao mazito muda mchache,kwa government bila tuisheni hutoboi

Au kuna ajenda ya siri?
[/QUOTE]
Ticha unawazia pato peperushwa la twisheni?
 
Tuache watoto wapumzike Ticha unawazia pato peperushwa la twisheni?[/QUOTE]
 

Ulianza kusikia mwangwi wa hili gonjwa kutokea serikali hii ni vyema kujua hali si shwari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…