Hapo kwenye kutumia dola ili kubaki madarakani,kuna mipaka lazima ivukwe,uwezi kuishia kukusanya kodi,na kukamata waharifu,lazima utaua sana,utaumiza,utapoteza,na lazima utatumia dola kuiba kura,au kubatilisha matokeo,asijilinganishe na Trump
Trump alitumia dola ili Mpinzani wake achunguzwe,ili achafuke,na hapa akuitumia FBI,au CIA,alitumia wachunguzi binafsi
Lakini hawezi kuitumia FBI,au Polisi,DoJ,kuwaumiza wapinzsni wake,wala hawezi kuingilia mchakato wa uchaguzi,ikigundurika,ni nje tu!
Na wananchi wakiamua kwenye sanduku la kura,atatoka bila ubishi,Nguvu ya Serikali inabaki kuwa ni wananchi,kwa CCM nguvu yao sio Wananchi,ni Dora!TPDF,TISS,Polisi,covert agencies,!
Tunasafari ndefu
Jackob zuma,alikuwa Raisi,na Dora ilikuwa chini yake,lakini wananchi walipotaka atoke,Dora haikumkingia kifua,hiyo ndio nchi tunayotaka,sio huu upuuzi wa Bashiru/CCM
Sent using
Jamii Forums mobile app