Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Iko siku moja hawa Watanzania mnawaona wajinga mtawatafuta wawaokoe lakini hamtafanikiwa , ikiwa mzururaji kama Bashiru Ally anaruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara , huku akiwa hana ajenda yoyote kwenye jimbo zaidi ya kutembea na hela za kununua wapinzani huku polisi wakimuwekea ulinzi , halafu wabunge halali wenye ajenda wanazuiwa kukutana na waajiri wao ambao ni wananchi basi bila shaka tunachokitafuta tutakipata tena kabla muda tuliokusudia
Hii ni aibu kubwa sana kwa IGP na ni aibu kwa Msajili wa vyama na ni aibu kubwa sana kwa Nchi .
Dunia inaangalia .