Dkt. Bashiru Ally anafanya mikutano ya hadhara kama nani ?

Dkt. Bashiru Ally anafanya mikutano ya hadhara kama nani ?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
FB_IMG_1582455996774.jpg


FB_IMG_1582491848963.jpg


Iko siku moja hawa Watanzania mnawaona wajinga mtawatafuta wawaokoe lakini hamtafanikiwa , ikiwa mzururaji kama Bashiru Ally anaruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara , huku akiwa hana ajenda yoyote kwenye jimbo zaidi ya kutembea na hela za kununua wapinzani huku polisi wakimuwekea ulinzi , halafu wabunge halali wenye ajenda wanazuiwa kukutana na waajiri wao ambao ni wananchi basi bila shaka tunachokitafuta tutakipata tena kabla muda tuliokusudia

2314004_FB_IMG_1582248257637.jpg


Hii ni aibu kubwa sana kwa IGP na ni aibu kwa Msajili wa vyama na ni aibu kubwa sana kwa Nchi .

Dunia inaangalia .
 
Hamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
 
Mwambie Katibu wenu nae afanye.. si mna mupya sasa hivi tabu wapi.. wa zamani mumesema alikuwa hafanyi kazi zake..

Afate utaratibu sio ugangwe wenu..😊
 
Hamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Kwa nini mbunge asiwe na uhuru kufanya mkutano nje ya jimbo lake?

Mbona CHADEMA wabunge kibao walifanya mikutano Mwembeyanga kabla ya utawala wa Magufuli?

Hizi habari za kusema mbunge afanye mikutano jimboni kwake tu ni upumbavu gani huu?

Zimetoka katika sheria gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya chama lazima iisimamiwe vyema na chama ili kuhahakisha uwakilishi wa matarajio ya watu(wapiga kura) unazingatiwa. Nafasi na umuhimu wa Katibu Mkuu katika kuhahakisha hilo ni kubwa

Kama katibu mkuu angekaa tu bila kufatilia ahadi za chama hapo watu wangeuliza ni Nini nafasi ya chama katika kuisimamia Serikali? Kwa kuwa katibu mkuu anasimamia jukumu hilo vyema, wwatu wanapoñgeza tu.
 
Back
Top Bottom