Dkt. Bashiru Ally anafanya mikutano ya hadhara kama nani ?

Dkt. Bashiru Ally anafanya mikutano ya hadhara kama nani ?

Walimu hudhani kila mtu ni mwanfunzi wao wavumilieni muda ukifika wa kampeni watakuwa hawana kitu cha kuongea 'empty'
 
Katibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)

Unatatizo kichwani. Wahi matibabu.
 
Katibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)
Hawa Polisi wetu ndio unawaita professionals? Uwe mtii wa dhamira yako.
 
Katibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)
Sikujua kama wewe ni takataka hivi. Hebu nitajie mwana CCM hata mmoja aliewahi kuzuiwa kufanya mkutano na jeshi la polisi kwa kisingizio cha intelijensia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie Katibu wenu nae afanye.. si mna mupya sasa hivi tabu wapi.. wa zamani mumesema alikuwa hafanyi kazi zake..

Afate utaratibu sio ugangwe wenu..😊
KUSUDI MA POLICE CCM YAM KAMATE NA KUMUWEKA NDANI?! CCM WOOTE NI WAPUMBAVU NA WENDA AND WAZIMU
NA MASHETANI YALIYO KOSA UTU.
HII NCHU SIO YA BABA ZENU NA MAMA ZENU. HII NCHI NI YETU WOTE PUMBAVU KABISA MA CCM
 
Back
Top Bottom