cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Rudi shule ukajifunze kuandika tafadhali.
Kuandika Swahili ni mulazima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi shule ukajifunze kuandika tafadhali.
Katibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)
Swali ni huyu Bashiru ni mbunge wa wapi? Maana tunaambiwa mikutano iliyoruhusiwa ni wawakilishi wa maeneo yaoHamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Aiseee !!Dikteta kashaigeuza nchi hii tambara lake la kufutia.miguu.
Hawa Polisi wetu ndio unawaita professionals? Uwe mtii wa dhamira yako.Katibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)
Sikujua kama wewe ni takataka hivi. Hebu nitajie mwana CCM hata mmoja aliewahi kuzuiwa kufanya mkutano na jeshi la polisi kwa kisingizio cha intelijensiaKatibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)
KUSUDI MA POLICE CCM YAM KAMATE NA KUMUWEKA NDANI?! CCM WOOTE NI WAPUMBAVU NA WENDA AND WAZIMUMwambie Katibu wenu nae afanye.. si mna mupya sasa hivi tabu wapi.. wa zamani mumesema alikuwa hafanyi kazi zake..
Afate utaratibu sio ugangwe wenu..😊