Foreverfreed
Member
- Aug 20, 2019
- 65
- 109
Hukuona hiyo barua inayomkataza mbungeHamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukuona hiyo barua inayomkataza mbungeHamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
We gala kweliHamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Usimamizi wa chama kwa Serikali haina mipaka ya jimbo Wala kata kamandakwanini asifuatilie kwa vikao vya ndani kama Magufuli anavyotaka ? kumbuka pia kwamba Ndanda ccm haina mbunge pale
Bashiru ni mbunge wa wapi?Hamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Mambo haya yanajenga hasira miongoni mwa wananchi ambayo mlipuko wake ni kama mlipuko wa volcano. Kinachotengenezwa kitaiweka amani yetu katika hali isiyojulikanaView attachment 1367061
Iko siku moja hawa Watanzania mnawaona wajinga mtawatafuta wawaokoe lakini hamtafanikiwa , ikiwa mzururaji kama Bashiru Ally anaruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara , huku akiwa hana ajenda yoyote kwenye jimbo zaidi ya kutembea na hela za kununua wapinzani huku polisi wakimuwekea ulinzi , halafu wabunge halali wenye ajenda wanazuiwa kukutana na waajiri wao ambao ni wananchi basi bila shaka tunachokitafuta tutakipata tena kabla muda tuliokusudia
View attachment 1367066
Hii ni aibu kubwa sana kwa IGP na ni aibu kwa Msajili wa vyama na ni aibu kubwa sana kwa Nchi .
Dunia inaangalia .

Kila kiongizi wa chama Tawala anajaribu drama zitakazomfanya awatafutie familia mlo.Siro atakuambia hajaona
Msajili atakuambia hamja andika barua ya malalamiko.
Hii ni sheria isiyorasmi toka kwa viongozi wa wanyonge wa sasa na malaika akiitwa mbinguni(Watamkoma) na watalimia meno.Kwa nini mbunge asiwe na uhuru kufanya mkutano nje ya jimbo lake?
Mbona CHADEMA wabunge kibao walifanya mikutano Mwembeyanga kabla ya utawala wa Magufuli?
Hizi habari za kusema mbunge afanye mikutano jimboni kwake tu ni upumbavu gani huu?
Zimetoka katika sheria gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania inawenyewe na wenyewe ni CCM, wananchi tumekubaliana na hali hii inabidi tuipokee vinginevyo tuwasaidie polisi kuizuia.View attachment 1367061
Iko siku moja hawa Watanzania mnawaona wajinga mtawatafuta wawaokoe lakini hamtafanikiwa , ikiwa mzururaji kama Bashiru Ally anaruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara , huku akiwa hana ajenda yoyote kwenye jimbo zaidi ya kutembea na hela za kununua wapinzani huku polisi wakimuwekea ulinzi , halafu wabunge halali wenye ajenda wanazuiwa kukutana na waajiri wao ambao ni wananchi basi bila shaka tunachokitafuta tutakipata tena kabla muda tuliokusudia
View attachment 1367066
Hii ni aibu kubwa sana kwa IGP na ni aibu kwa Msajili wa vyama na ni aibu kubwa sana kwa Nchi .
Dunia inaangalia .
Hivi huwa unasoma ulichoandika kabla ya ku-post?Serikali ya chama lazima iisimamiwe vyema na chama ili kuhahakisha uwakilishi wa matarajio ya watu(wapiga kura) unazingatiwa. Nafasi na umuhimu wa Katibu Mkuu katika kuhahakisha hilo ni kubwa
Kama katibu mkuu angekaa tu bila kufatilia ahadi za chama hapo watu wangeuliza ni Nini nafasi ya chama katika kuisimamia Serikali? Kwa kuwa katibu mkuu anasimamia jukumu hilo vyema, wwatu wanapoñgeza tu.
Kwa CCM huitajiki kuwa mbunge kufanya mkutano. Sheria hiyo ya Jiwe inahusu vyama vya upinzani tu. Kwani SlowSlow ni mbunge?
huyo hamna kitu
Hamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Bashiru ni Mbunge wa wapi?Tuanzie hapoHamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Mwambie Katibu wenu nae afanye.. si mna mupya sasa hivi tabu wapi.. wa zamani mumesema alikuwa hafanyi kazi zake..
Afate utaratibu sio ugangwe wenu..😊
Usimamizi wa chama kwa Serikali haina mipaka ya jimbo Wala kata kamanda
😆😆😆😆Sheria ya Vyama vya Siasa haijaweka mipaka ya Majimbo wala Kata kwa Wanasiasa.
Matamko yanayoweka mipaka ya Majimbo na Kata kufanya siasa ni UKIUKAJI WA KATIBA NA SHERIA ZA TANZANIA.
HIYO NI BIOLOGICAL WEAPONS.