Dkt. Bashiru Ally anafanya mikutano ya hadhara kama nani ?

Dkt. Bashiru Ally anafanya mikutano ya hadhara kama nani ?

View attachment 1367061

Iko siku moja hawa Watanzania mnawaona wajinga mtawatafuta wawaokoe lakini hamtafanikiwa , ikiwa mzururaji kama Bashiru Ally anaruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara , huku akiwa hana ajenda yoyote kwenye jimbo zaidi ya kutembea na hela za kununua wapinzani huku polisi wakimuwekea ulinzi , halafu wabunge halali wenye ajenda wanazuiwa kukutana na waajiri wao ambao ni wananchi basi bila shaka tunachokitafuta tutakipata tena kabla muda tuliokusudia

View attachment 1367066

Hii ni aibu kubwa sana kwa IGP na ni aibu kwa Msajili wa vyama na ni aibu kubwa sana kwa Nchi .

Dunia inaangalia .

Inasikitisha sana kwa jeshi la polisi kutumiwa kama kondomu.
 
Inasikitisha sana kwa jeshi la polisi kutumiwa kama kondomu.
FB_IMG_1582491848963.jpg
 
Serikali ya chama lazima iisimamiwe vyema na chama ili kuhahakisha uwakilishi wa matarajio ya watu(wapiga kura) unazingatiwa. Nafasi na umuhimu wa Katibu Mkuu katika kuhahakisha hilo ni kubwa

Kama katibu mkuu angekaa tu bila kufatilia ahadi za chama hapo watu wangeuliza ni Nini nafasi ya chama katika kuisimamia Serikali? Kwa kuwa katibu mkuu anasimamia jukumu hilo vyema, wwatu wanapoñgeza tu.
Kufuatilia ilani ndio mpaka mkutano wa hadhara?Yaani mnasema ni ruksa CCM kufanya mikutano ya hadhara ila upinzani marufuku,shame!
 
Katibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)
 
Very interesting
Katibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani waandishi wa Habari, naomba mniulizie kwa huyu Bashiru, je, anamfahamu Aldolf Hitler? Anaweza kumkosoa Hitler? Asante.
 
Dr.Bashiru ni katibu mkuu wa chama tawala...mwache afanye...hata hivyo fisiemu siyo chama ya kisiasa ni chama tawala...sijui kama mdau unalijua hili...
 
Katibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)
Kadanganye wajinga wenzio
 
Kuna jina huwa natamani nikuite lakini roho inasita maana najiambia uko kazini unatafuta mkate ili watoto wale na mpemba mwenye duka aache kukutafunia vyako.
Sio kwa akili yako maswali kama haya!

Sent using Jamii Forums mobile app
kijibia hoja kama ya mpuuzi huyu ni kumpa kichwa kuwa kuna watu wenye akili wanaomsoma,just ignore him mkuu.
 
View attachment 1367061

View attachment 1367530

Iko siku moja hawa Watanzania mnawaona wajinga mtawatafuta wawaokoe lakini hamtafanikiwa , ikiwa mzururaji kama Bashiru Ally anaruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara , huku akiwa hana ajenda yoyote kwenye jimbo zaidi ya kutembea na hela za kununua wapinzani huku polisi wakimuwekea ulinzi , halafu wabunge halali wenye ajenda wanazuiwa kukutana na waajiri wao ambao ni wananchi basi bila shaka tunachokitafuta tutakipata tena kabla muda tuliokusudia

View attachment 1367066

Hii ni aibu kubwa sana kwa IGP na ni aibu kwa Msajili wa vyama na ni aibu kubwa sana kwa Nchi .

Dunia inaangalia .
Atakuwa anamsaidia raisi au mbunge au diwani wa eneo husika.

Si unajua raisi ni wa sisiemu
 
Hamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Hivi kweli unabisha kuwa wabunge wa upinzani mara nyingi sana wamenyimwa na polisi kufanya mikutano ya hadhara, tena majimboni mwao!?

Wabunge na wasio wabunge wa ccm wao sijawahi ona wakizuiwa kwa zile sababu za polisi sijui eti "taarifa za kitelijensia"

Inasikitisha sana kiwango hiki cha kinafiki ambacho hata sheitwani hana
 
Back
Top Bottom