Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 1367061
Iko siku moja hawa Watanzania mnawaona wajinga mtawatafuta wawaokoe lakini hamtafanikiwa , ikiwa mzururaji kama Bashiru Ally anaruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara , huku akiwa hana ajenda yoyote kwenye jimbo zaidi ya kutembea na hela za kununua wapinzani huku polisi wakimuwekea ulinzi , halafu wabunge halali wenye ajenda wanazuiwa kukutana na waajiri wao ambao ni wananchi basi bila shaka tunachokitafuta tutakipata tena kabla muda tuliokusudia
View attachment 1367066
Hii ni aibu kubwa sana kwa IGP na ni aibu kwa Msajili wa vyama na ni aibu kubwa sana kwa Nchi .
Dunia inaangalia .
Inasikitisha sana kwa jeshi la polisi kutumiwa kama kondomu.
Bashiru ni mbunge wa wapi?Hamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Kufuatilia ilani ndio mpaka mkutano wa hadhara?Yaani mnasema ni ruksa CCM kufanya mikutano ya hadhara ila upinzani marufuku,shame!Serikali ya chama lazima iisimamiwe vyema na chama ili kuhahakisha uwakilishi wa matarajio ya watu(wapiga kura) unazingatiwa. Nafasi na umuhimu wa Katibu Mkuu katika kuhahakisha hilo ni kubwa
Kama katibu mkuu angekaa tu bila kufatilia ahadi za chama hapo watu wangeuliza ni Nini nafasi ya chama katika kuisimamia Serikali? Kwa kuwa katibu mkuu anasimamia jukumu hilo vyema, wwatu wanapoñgeza tu.
Sorry kwani Dr. Bashiru ni mmbunge wa jimbo gani ???Hamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Halafu wewe huwa Ni BONGE LA mkundunyau Sana Tena msengemanyoya DADADADEKI [emoji83][emoji83] [emoji83]Hamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!
Swadakta haswaaa jibu zuri sana ... Kama ni muumgwana naamini atakuomba msamaha ila kama ni wale inzi wa kijani tarajia matusi tena kwangu na kwakoWewe utakavyoita na huyo mpemba ni wewe tafuna ukimaliza kutafuna kwangu geukia na familia yako!View attachment 1367120
Wewe utakavyoita na huyo mpemba ni wewe tafuna ukimaliza kutafuna kwangu geukia na familia yako!View attachment 1367120
Katibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)
Umenikumbusha mbali sana! Walikuwepo akina Hitler wakapita, sasa Hitler karithiwa na Bashiru Ally ambaye sikuwahi kufikiri kwamba akipewa madaraka atakuwa Hitler wa Zama hizi.Udikteta umeshatia timu kwenye nchi hii tusubiri tu speech kama hizi
View attachment 1367082
Kadanganye wajinga wenzioKatibu wa chama tawala, lazma afanye hivyo sababu ana jukumu la kuisimamia serikali.
Kuhusu ulinzi wa polisi aliopewa na sababu ameomba kibali na kupewa ulinzi.
Kuhusu kilichotokea Tunduma ni zuio based on usalama wa wananchi, wewe na mimi tunaweza tusijue ila wanausalama professionals wakanusa hilo (tuheshimu kazi za watu)
Mwambie Katibu wenu nae afanye.. si mna mupya sasa hivi tabu wapi.. wa zamani mumesema alikuwa hafanyi kazi zake..
Afate utaratibu sio ugangwe wenu..[emoji4]
kijibia hoja kama ya mpuuzi huyu ni kumpa kichwa kuwa kuna watu wenye akili wanaomsoma,just ignore him mkuu.Kuna jina huwa natamani nikuite lakini roho inasita maana najiambia uko kazini unatafuta mkate ili watoto wale na mpemba mwenye duka aache kukutafunia vyako.
Sio kwa akili yako maswali kama haya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa anamsaidia raisi au mbunge au diwani wa eneo husika.View attachment 1367061
View attachment 1367530
Iko siku moja hawa Watanzania mnawaona wajinga mtawatafuta wawaokoe lakini hamtafanikiwa , ikiwa mzururaji kama Bashiru Ally anaruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara , huku akiwa hana ajenda yoyote kwenye jimbo zaidi ya kutembea na hela za kununua wapinzani huku polisi wakimuwekea ulinzi , halafu wabunge halali wenye ajenda wanazuiwa kukutana na waajiri wao ambao ni wananchi basi bila shaka tunachokitafuta tutakipata tena kabla muda tuliokusudia
View attachment 1367066
Hii ni aibu kubwa sana kwa IGP na ni aibu kwa Msajili wa vyama na ni aibu kubwa sana kwa Nchi .
Dunia inaangalia .
Hivi kweli unabisha kuwa wabunge wa upinzani mara nyingi sana wamenyimwa na polisi kufanya mikutano ya hadhara, tena majimboni mwao!?Hamna jipya mbunge gani kazuiwa kufanya mkutano jimboni kwake!