nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Aendeshe gari kilevi apate ajali alafu ya kawaida!!!Muache ale, wanasiasa wote hata wasio bungeni wanatamani kwenda bungeni kutengeneza maisha yao, sio upinzani wala chama tawala, Bashiru aachwe kusimangwa kilichomkuta ni ajali tu za kisiasa ambazo huwakuta wengi.
Rudisha avatar picha yako ya hawali mkuu yule nigger kalala. Nilitaka kukupita
[emoji3] watz Ni wanafique sanaaa.Dr. Bashiru kaza hapo hapo, kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.... mbona kiba mdee hawana chama na bado wanakula mshahara na marupurupu
Kuhusu huyu Bashiru imeisha hiyo arudi kushika chaki UDSM..Kutolewa kwenye nafasi ya KMK hata mwezi haujaisha ni dharau ya hali ya juuNawambia bashiru ni mtu makini basi nyie hamjui.kwa sasa atulie.fungu lake lipo hata kama sio leo nawaambia kuna siku bashiru atalipwa.
Naamini alitimiza wajibu.
Nitafanya hivyo haraka sanaRudisha avatar picha yako ya hawali mkuu yule nigger kalala. Nilitaka kukupita
Bashiru ktk uongozi wake Ali overspeed[emoji3] watz Ni wanafique sanaaa.
Sa bashiru ajiuzuru kwa kosa gani?Mbowe anaingia vipi kwenye hii mada.
Kwa hiyo unachangia mada huku hujui inahusu nini?Sa
Sa bashiru ajiuzuru kwa kosa gani?
BASHIRU kwa sasa hana tofauti na wale COVID-19, mbunge wa hisani ya kupewaKwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.
Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.
View attachment 1769575
Bashiru bado ni mbunge na baada ya miaka mitano tunampa uongozi mwingina nyie roho mbaya na mafisadi mtabaki mkilialia na safari inaendelea.Bashiru ktk uongozi wake Ali overspeed
Roho take mbaya+roho ya mwendazake speed 1000.
Wenzie walikuwa wamwangalia kwenye binocular
Sielewi kwanini huyu mtu anasakamwa sanaMuache ale, wanasiasa wote hata wasio bungeni wanatamani kwenda bungeni kutengeneza maisha yao, sio upinzani wala chama tawala, Bashiru aachwe kusimangwa kilichomkuta ni ajali tu za kisiasa ambazo huwakuta wengi.
MajumbaniHibi wabunge wanaposema wanaenda majimboni..... Bashiru na wenzake kina Halima wanaenda wapi?
Kwa hiyo kulinda heshima yake ni kutunishia mishuli state?Hivi unajua kwa mwezi mmoja na siku kadhaa alizo hudumu kama Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu amejua siri kiasi gani za nchi! Unafahamu uzito wa hiyo nafasi? Acha kumchochea aanze kutunishiana misuli na STATE kwa kususa Ubunge, atashughurikiwa.
Heshima ipi analinda? Unaandika ukiwa umeshiba uji na magimbi, hujui hata kwa nini hakuwekwa nje ya 'mfumo' baada ya kutenguliwa bali akapewa Ubunge!Kwa hiyo kulinda heshima yake ni kutunishia mishuli state?