Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ndio hivyo mkuuNawaunga mkono.
Jikite kwenye madaSwala la kina Halima Mdee limeishia wapi mbn kama mwenyekiti, Mnyika na chama chao walitupiga changa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] life is funny!!
Sana mkuuWewe Cheka Tu
Huko kwenye ubunge ndo anapiga hela
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa, ambapo taarifa zinadokeza kwamba bunge zima limelipuka kwa shangwe baada ya kula kiapo...
Kwa alichomfanyia Bi mkubwa sidhaniUwaziri atakuja pewa....
Ova
Wale kila Mbunge anampa Mbowe laki 5 kila mwezi.. Sasa fanya wabunge 20 × 500,000.Swala la kina Halima Mdee limeishia wapi mbona kama mwenyekiti, Mnyika na chama chao walitupiga changa
Hahahaha kweli kuishi mjini kunahitaji mipangoWale kila Mbunge anampa Mbowe laki 5 kila mwezi.. Sasa fanya wabunge 20 × 500,000.
We unafikiri kuna Mchagga mjinga?? Hizo wanagawana Mbowe na Lema akina Mnyika wameachwa waimarishe chama
Sio udokozi?Mambo yamembadilikia kwa kasi sana ndani ya muda mfupi. Haya ni matokeo ya mdomo usiochungwa.