Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
kwani mimi nimesemaje?Hongera zake Ila mbona Kati ya walioapishwa Leo mama Mulamula ndiye alishangiliwa Sana kulipo wote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani mimi nimesemaje?Hongera zake Ila mbona Kati ya walioapishwa Leo mama Mulamula ndiye alishangiliwa Sana kulipo wote?
Mbowe mtoto wa mjini haswa, akifuatiwa na Lema..Hahahaha kweli kuishi mjini kunahitaji mipango
Hivi waliobaki bado wanampa Mbowe ?Wale kila Mbunge anampa Mbowe laki 5 kila mwezi.. Sasa fanya wabunge 20 × 500,000.
We unafikiri kuna Mchagga mjinga?? Hizo wanagawana Mbowe na Lema akina Mnyika wameachwa waimarishe chama
Tena asiye na kichwaKutoka kuwa mhadhiri mahiri wa vyuo vikuu hadi kuwa chawa!😬😬😬
Hivi kwanini masikini wengi ni waongo ?Wale kila Mbunge anampa Mbowe laki 5 kila mwezi.. Sasa fanya wabunge 20 × 500,000.
We unafikiri kuna Mchagga mjinga?? Hizo wanagawana Mbowe na Lema akina Mnyika wameachwa waimarishe chama
Waliobaki wapi mkuu? Wanaompa Mbowe ni wale wabunge 19 na yule mmoja wa kuchaguliwa..Hivi waliobaki bado wanampa mbowe ?
Sana🤣🤣🤣🤣 Life is funny!!
Ndugu, huna hata robo ya balance moja tu za account zangu. Kama unabisha fungua uzi special tuonyeshane makali na sio hapaHivi kwanini masikini wengi ni waongo ?
Thibitisha hapa kwa kuweka ushahidi na ikikupendeza uonyeshe walifanya muamala wa malipo lini na kupitia benki gani! Ukishindwa Hilo utabaki kuwa maskini muongo!Waliobaki wapi mkuu? Wanaompa Mbowe ni wale wabunge 19 na yule mmoja wa kuchaguliwa..
Mbowe si lofa
Hongera lakini ni Demotion kwa cheo ila kwa chenji kaula.Hongera sana Dr. Bashiru
Aliempiga hii picha amejua kutufurahisha[emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3] Ni mimiAliempiga hii picha amejua kutufurahisha[emoji3]
Hahaha,,,,, mdomo ulitangulia kumponza mengine ni aftermathSio udokozi?
Malaika kawa shetaniHivi ndivyo hali ilivyokuwa, ambapo taarifa zinadokeza kwamba bunge zima limelipuka kwa shangwe baada ya kula kiapo...
Aisee hongera[emoji106][emoji106][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ni mimi