Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Ukiwa juu ya mti wa matunda kuna siku utashuka ili wengine nao wapande .
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmemfanyajeKwa alichomfanyia Bi mkubwa sidhani
Haha yani kwene ubunge Kuna hela zaidi ya kuwa katibu mkuu kiongozi kwene hii nchi thus very funnyWewe Cheka Tu
Huko kwenye ubunge ndo anapiga hela
Katikati ya taharuki juu ya sintofahamu ya mwendazake akampangia ziara ya siku 6 mkoani TangaAmemfanyaje
Katikati ya taharuki juu ya sintofahamu ya mwendazake akampangia ziara ya siku 6 mkoani Tanga
Ubunge vs Ukatibu Mkuu Kiongozi,Ubunge ni demotionWewe Cheka Tu
Huko kwenye ubunge ndo anapiga hela
Hapo ndio ujue CCM walivyo Wanafiki,wakati anatumbuliwa walishangilia piaHongera zake Ila mbona Kati ya walioapishwa Leo mama Mulamula ndiye alishangiliwa Sana kulipo wote?
Ruzuku itafunwe na Mbowe na genge lake afu swali unataka nimuulize Ndungai? Nadhan haujui unachokiandika hapaMuulizeni ndugai...
Sasa ubunge unahela gani ukikompea na Kmk,yaani pale atakuwa mtu tu kukaa nyumbani na kuzurura mitaani,ila kwa cheo cha Kmk kiongozi kina marupurupu kibao,Wewe Cheka Tu
Huko kwenye ubunge ndo anapiga hela
Mbowe alipo tafadhali?Jikite kwenye mada
Sasa ubunge unahela gani ukikompea na Kmk,yaani pale atakuwa mtu tu kukaa nyumbani na kuzurura mitaani,ila kwa cheo cha Kmk kiongozi kina marupurupu kibao,
Ubunge vs Ukatibu Mkuu Kiongozi,Ubunge ni demotion
Haha yani kwene ubunge Kuna hela zaidi ya kuwa katibu mkuu kiongozi kwene hii nchi thus very funny
Sawa lkn vigezo vya ubunge si kujua kusoma na kuandika tu na wapo wengi meza moja, lakini katibu mkuu ni mmoja tu na lazma upige shule kisawasawaWeka mshahara WA mbunge na katibu mkuu KIONGOZI.
Usisahau posho zao.
Sawa lkn vigezo vya ubunge si kujua kusoma na kuandika tu na wapo wengi meza moja, lakini katibu mkuu ni mmoja tu na lazma upige shule kisawasawa
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] umenishinda hoja mkuuKikubwa watoto waende CHOONI.