Hiyo iwe imekaaje hapo? Mimi siyo mhaya hivyo usilazimishe! Majibu swali kule!Swali liko wapi, uliza tena vizuri ijibiwe iwe bawacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo iwe imekaaje hapo? Mimi siyo mhaya hivyo usilazimishe! Majibu swali kule!Swali liko wapi, uliza tena vizuri ijibiwe iwe bawacha
Mbowe anapokea pesa anagawana na Lema. We kaa pigania chama ukishindia ugali dagaa..Hiyo iwe imekaaje hapo? Mimi siyo mhaya hivyo usilazimishe! Majibu swali kule!
Ingemake sense kama wange PA Ndugai aliyewaapishia kibarazani.....!!Waliobaki wapi mkuu? Wanaompa Mbowe ni wale wabunge 19 na yule mmoja wa kuchaguliwa..
Mbowe si lofa
Wao shida yao sio pesa.. walitaka tu Bunge lijulikane lina upinzani.Ingemake sense kama wange PA Ndugai aliyewaapishia kibarazani.....!!
Wewe unae chunga mdomo una cheo gani?Mambo yamembadilikia kwa kasi sana ndani ya muda mfupi. Haya ni matokeo ya mdomo usiochungwa.
Kipi tena Mshana Jr , don't talk in riddles; wasiojulikana have been dismantledKwa alichomfanyia Bi mkubwa sidhani
Muulizeni ndugai...Swala la kina Halima Mdee limeishia wapi mbona kama mwenyekiti, Mnyika na chama chao walitupiga changa
Hii issue umeisoma humu humu JFKumpangia safari ya ziara ndefu Tanga
Mie sina imani kabsa..eti mbona kimya kbs jamanSwala la kina Halima Mdee limeishia wapi mbona kama mwenyekiti, Mnyika na chama chao walitupiga changa
Cheo changu we kinakuhusu nini? Unataka kunifahamu? Fuata yale ya msingi. Chunga mdomo wako, hilo ni funzo muhimu sana kama unataka kuishi na kuziona siku njemaWewe unae chunga mdomo una cheo gani?
Nauliza tu.
Mbona unahamisha magoli mkuu?Cheo changu we kinakuhusu nini? Unataka kunifahamu? Fuata yale ya msingi. Chunga mdomo wako, hilo ni funzo muhimu sana kama unataka kuishi na kuziona siku njema
Huiamini JFHii issue umeisoma humu humu JF
Umeshaifanya kua ni issue yako na kujiona mjuaji tayari?
🤣🤣🤣🤣
Kwa madhumuni ya kuandaa waraka wa kupindua meza kupitia ibara ya 37(7) &(8)???Kumpangia safari ya ziara ndefu Tanga
Kwanza stupid mwenyewe na ukoo wako! Nimekuuliza, una ushahidi Tena wenye vielekezo ili kuthibitisha kauli yako? Unakimbilia kutukana! Ndugu, enzi za kujitoa ufahamu kusema yasiyo na ushahidi ili tu umchafue mtu zimekwenda na mwendazake! Huyu aliyepo Hana muda na majungu! Itoshe kukufahamisha kuwa, nafasi za uteuzi hazipo Tena!Mbowe anapokea pesa anagawana na Lema. We kaa pigania chama ukishindia ugali dagaa..
Stupid
Hakuna sehemu niliyosema hivyo,pia kwenye mambo ya msingi,issue hua sio "Kuamini" bali claim ni lazima iambatane na vivid evidence.Huiamini JF
Kile kipindi yalitokea mengi sana ...yatakuja simuliwa baadaeKwa madhumuni ya kuandaa waraka wa kupindua meza kupitia ibara ya 37(7) &(8)???
Mbona unahamisha magoli mkuu?
Okay unasema hakuchunga mdomo wake,je unaweza kunipa tafsiri kua alitoa maneno gani? Funguka hapa with vivid evidence.