Get lost you damned silly fool - wapi nimelalamika Dk. Bashiru kubadirishwa kazi - wapi!! Tuna maoni tofauti hilo halikupi uhalali wa kuanza kunitukana, usifikiri hatuna uwezo wa ku-resort to using abrasive language, kama huna uwezo wa ku-withstand the heat don't stay in the kitchen, in other words learn 2agree 2disagree without offending anyone.
Soma mstari wako wa mwisho - what does it tell you about your PERSONA? Ni wazi wewe na gege lako mko driven na rabid hatred ya Dk. Bashiru kutokana na wivu to wa kijinga na gdjwa kwa nini? Eti TISS ili-vent kuhusu Dk. Bashiru kwamba hafai lakini JPM kumtehua all the same, wewe hayo umeyanjua wapi! Are you one of the Directors wa TISS au member wa Govt inner circle?
Mara ngapi tumeshuhudia JPM alipo kuwa anaapisha baadhi ya wateule akisema kwamba anasema kwamba wewe nimekuteua kuwa Waziri/katibu mkuu kwa ku-ignore ushauri wa washauri wangu including TISS of course, je, unafikiri JPM alikuwa hajui unafiki wa baadhi ya wanadamu kuchukia binadamu wenzao kutokana na wivu tu au kuchukia baadhi ya makabila hapa Nchini bila sababu zozote za msingi, wewe kwa mfano umesema wazi wazi kuwa humpendi Dk. Bashiru! Twambie,je, aliwahi kukukwaza nini kimaisha? hoja zako zote ulizo tuletea hapa kumbe ni za kubuni tu na za kinafiki,mwisho wa siku unajisahau na ku-reveal true colour yako ya chuki binafsi kuhusu Kakurwa as a person,your hatred 2wards this man shines brighter than chrismas tree.