Dkt. Bashiru Ally Kakurwa atinga bungeni, ala kiapo cha kuwa mbunge. Bunge lazizima kwa shangwe

Dkt. Bashiru Ally Kakurwa atinga bungeni, ala kiapo cha kuwa mbunge. Bunge lazizima kwa shangwe

You don't have evidence right? Acha kubwabwaja kwani huna utakachopata kutoka unakodhani unawahangaikia! Katafute kazi uingize kipato kwani bando zile za bure hutozipata kutoka kwa kina polepole na bashiru maana wamekuwa yatima!
Hehehehehe unafikiri kila mtu analipwa kama Bawacha mnavyopewa buku buku za bando??
 
Bunge Kuzizima kwa Shangwe haimaanishi kuwa Wanakupenda na Kukukubali tena hao Wanaoshangilia hivyo Mioyoni mwao Wanamcheka, Wanamng'ong'a na Wanamsindikiza na Mibonge ya Mitusi.
Comments nyingine ni demonic kabisa!! Chuki binafsi na wivu wa kijinga ukizidi mtu anajikuta anazungumza chochote kinacho mjia kichwani he/she goes "kuzizima kwa shangwe haimanishi wanakupenda na kukubali" unacho sahau ni kwamba Wabunge wote ni watu wazima wenye akili za kuheshimu insticts zao, wanajua mtu ambaye ni Mzalendo wa kweli ambaye anaipenda nchi yake kwa dhati na hana mawaa to talk about, majizi na mafisadi ndani ya chama na nje ya chama ndio hawampendi Bashiru kutokana na msimamo wake dhabiti unao chukia all vices mentioned above emulating JPM and Mwl.Nyerere to the letter.

Sasa, watu kama wewe and like mind wenzako mnamuona Bashiru is the pain in the neck ndio maana mnaishia kumtakia mabaya na kumponda muda wote.

Watu wote tumeona kulicho kuwa kinajili Bungeni wakati Kakurwa anakwenda kula kiapo - alishangiliwa sana hata ukiangalia body language za wabunge zilionyesha they were Sincere - wewe unakuja na stori zako za kubuni tu eti "Wabunge walikuwa wanaigiza tu lakini deep down hawamtaki Bashiru" kuna ukweli gani katika maoni yako ya kushangaza kidogo - yaani mtu na akili zako timamu unakuwa overly driven kwa chuki binafsi dhidi ya binadamu mwenzako bila sababu za msingi.
 
Huyu mwamba anakubalika sana na wazalendo binafsi naiona hulka ya hayati JPM ndani yake namtabiria makubwa huko mbeleni hilo shangwe la bunge sio bure.
 
Walioshangilia ni wale covid-19 na wabunge waliopitishwa kimazabe baada ya sisi wajumbe kuwakataa. Mfano Nape anaanzaje kushangilia kkkk
 
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa, ambapo taarifa zinadokeza kwamba bunge zima limelipuka kwa shangwe baada ya kula kiapo.

Nachukua nafasi hii kumpongeza Mh Balozi Bashiru kwa hatua hii mpya.

Mungu ibariki Tanzania.

Bashiru Ali ndio the new Prime Minister, yale yalikuwa ni maandalizi tu....
 
Wale kila Mbunge anampa Mbowe laki 5 kila mwezi.. Sasa fanya wabunge 20 × 500,000.

We unafikiri kuna Mchagga mjinga?? Hizo wanagawana Mbowe na Lema akina Mnyika wameachwa waimarishe chama
Yaani waimarishe chama na njaa wao wanapiga pesa??!!haya mambo mbona magumu Sana,then miaka Murano ikiisha anawasamehe wanaenda kugombea majimboni, atakuja kukiua hicho chama
 
Eti bunge lazizima?
Kuna bunge siku hizi? Kwani hujui kilichofanyika wakati wa uchaguzi? WACHACHE sana wanastahili kua humo ndani.
Mzee Halima unaweza kumuita mbunge? Au gwajima, au tail tail au kibajaji au sloslow
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi na huyo mrundi wapi na wapi?
 
Get lost you damned silly fool - wapi nimelalamika Dk. Bashiru kubadirishwa kazi - wapi!! Tuna maoni tofauti hilo halikupi uhalali wa kuanza kunitukana, usifikiri hatuna uwezo wa ku-resort to using abrasive language, kama huna uwezo wa ku-withstand the heat don't stay in the kitchen, in other words learn 2agree 2disagree without offending anyone.

Soma mstari wako wa mwisho - what does it tell you about your PERSONA? Ni wazi wewe na gege lako mko driven na rabid hatred ya Dk. Bashiru kutokana na wivu to wa kijinga na gdjwa kwa nini? Eti TISS ili-vent kuhusu Dk. Bashiru kwamba hafai lakini JPM kumtehua all the same, wewe hayo umeyanjua wapi! Are you one of the Directors wa TISS au member wa Govt inner circle?

Mara ngapi tumeshuhudia JPM alipo kuwa anaapisha baadhi ya wateule akisema kwamba anasema kwamba wewe nimekuteua kuwa Waziri/katibu mkuu kwa ku-ignore ushauri wa washauri wangu including TISS of course, je, unafikiri JPM alikuwa hajui unafiki wa baadhi ya wanadamu kuchukia binadamu wenzao kutokana na wivu tu au kuchukia baadhi ya makabila hapa Nchini bila sababu zozote za msingi, wewe kwa mfano umesema wazi wazi kuwa humpendi Dk. Bashiru! Twambie,je, aliwahi kukukwaza nini kimaisha? hoja zako zote ulizo tuletea hapa kumbe ni za kubuni tu na za kinafiki,mwisho wa siku unajisahau na ku-reveal true colour yako ya chuki binafsi kuhusu Kakurwa as a person,your hatred 2wards this man shines brighter than chrismas tree.

Katika Lugha Sanifu ya Kiswahili hatuna neno ' kubadirishwa ' kama ulivyoandika bali tuna neno sahihi la Kubadilishwa sawa?

Sasa kama Kuandika tu vyema Kiswahili mbele ya Werevu huwezi Maudhui yako ( Content ) tutakuwa na uhakika nayo vipi?

Huna IQ ya Kupambana na Mimi Brainiac ( All - Rounder ) hivyo acha Kunipotezea muda wangu na bakia na huo Upumbavu ( Ujuha ) wako.
 
Back
Top Bottom