Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hujui kituMbunge anakula hela nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kituMbunge anakula hela nyingi
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa, ambapo taarifa zinadokeza kwamba bunge zima limelipuka kwa shangwe baada ya kula kiapo.
Nachukua nafasi hii kumpongeza Mh Balozi Bashiru kwa hatua hii mpya.
Mungu ibariki Tanzania.
Kama unataka ushahidi mwambie Mbowe aende Mahakamani ashtaki tumletee ushahidi..Kwanza stupid mwenyewe na ukoo wako! Nimekuuliza, una ushahidi Tena wenye vielekezo ili kuthibitisha kauli yako? Unakimbilia kutukana! Ndugu, enzi za kujitoa ufahamu kusema yasiyo na ushahidi ili tu umchafue mtu zimekwenda na mwendazake! Huyu aliyepo Hana muda na majungu! Itoshe kukufahamisha kuwa, nafasi za uteuzi hazipo Tena!
Point of correction fisadi mchovu, umletee na siyo tumletee! Kuwa maskini usiwaingize wengine waiohusika! Jisemee mwenyewe!Kama unataka ushahidi mwambie Mbowe aende Mahakamani ashtaki tumletee ushahidi..
Mimi kuwa maskini hakuondoi Mbowe anapokea pesa za kina Mdee we Bawacha.Point of correction fisadi mchovu, umletee na siyo tumletee! Kuwa maskini usiwaingize wengine waiohusika! Jisemee mwenyewe!
Inakuuma?Mimi kuwa maskini hakuondoi Mbowe anapokea pesa za kina Mdee we Bawacha.
Ndio maana mpaka leo Mbowe yuko zake kimya anatafuna Kuku tu Dubai
Iniumaje wakati Mmachame mwenzangu anawapiga hela nyie mazuzu??Inakuuma?
Unashangaa hilo? Kuna mwenyekiti aliahidi 50m kila kijiji vipi sio changa lile?Swala la kina Halima Mdee limeishia wapi mbona kama mwenyekiti, Mnyika na chama chao walitupiga changa
Dada vipi!Hii issue umeisoma humu humu JF
Umeshaifanya kua ni issue yako na kujiona mjuaji tayari?
🤣🤣🤣🤣
coincidence mkuu, ingekuwa kila mtu anahukumiwa kwa mdomo. ungekuwa wa kwanza!!!Mambo yamembadilikia kwa kasi sana ndani ya muda mfupi. Haya ni matokeo ya mdomo usiochungwa.
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa, ambapo taarifa zinadokeza kwamba bunge zima limelipuka kwa shangwe baada ya kula kiapo.
Nachukua nafasi hii kumpongeza Mh Balozi Bashiru kwa hatua hii mpya.
Mungu ibariki Tanzania.
coincidence mkuu, ingekuwa kila mtu anahukumiwa kwa mdomo. ungekuwa wa kwanza!!!
Ni kiburi cha madaraka tu. Chini ya jiwe viongozi wengi waliiga kiburi chake cha madaraka.
Hapana chief, mdomo una nguvu kubwa sana ya kuumba, kama ni matokeo hata mimi nayaona katika maisha yangu pia kwa namna mbalimbali.coincidence mkuu, ingekuwa kila mtu anahukumiwa kwa mdomo. ungekuwa wa kwanza!!!
Hujui kweli au unataka kutusumbua tu ?alifanya nini mkuu?
Tukutane sheli🙏🙏🍺Ni kiburi cha madaraka tu. Chini ya jiwe viongozi wengi waliiga kiburi chake cha madaraka.
You don't have evidence right? Acha kubwabwaja kwani huna utakachopata kutoka unakodhani unawahangaikia! Katafute kazi uingize kipato kwani bando zile za bure hutozipata kutoka kwa kina polepole na bashiru maana wamekuwa yatima!Iniumaje wakati Mmachame mwenzangu anawapiga hela nyie mazuzu??
Mwambie mama anapruni kimya kimya Hana papara Wala haraka 🤣🤣You don't have evidence right? Acha kubwabwaja kwani huna utakachopata kutoka unakodhani unawahangaikia! Katafute kazi uingize kipato kwani bando zile za bure hutozipata kutoka kwa kina polepole na bashiru maana wamekuwa yatima!
Duh [emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ndivyo hali ilivyokuwa, ambapo taarifa zinadokeza kwamba bunge zima limelipuka kwa shangwe baada ya kula kiapo.
Nachukua nafasi hii kumpongeza Mh Balozi Bashiru kwa hatua hii mpya.
Mungu ibariki Tanzania.