wewe umeongea na CAG na CDF?Yaaani Samia bana anawaweza kweli! "Samia ni Magufuli, na Magufuli ni Samia".... huku anaendelea kupiga chini misukule yote ya JPM na majizi mengine.
1. Wasiliana na CAG kama kule BOT kamaliza uchunguzi.
2. Muulize CDF alikuwa na "siri" gani aliyotaka kumwambia Rais Samia.
#kuna "watu" wanaweza kwenda jela!
Tusubiri.
Pole kwa kukwazika mkuu ndiyo hivyo tenaKulikuwa kuna umuhimu gani wa kutaja kabila lake?
Unadhani usingetaja kabila lake basi hoja yako isingejisamia?
Mimi nakujua kabila lako lakini siwezi kukuita kwa kutumia kabila lako kwa sababu itanifanya nionekane nina vimelea vya ukabila!Pole kwa kukwazika mkuu ndiyo hivyo tena
Fat chance.Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.
Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!...
Kuna watu wengine hata kuzijibu hoja zao ni kama kupoteza muda!wewe umeongea na CAG na CDF?
Asante pamoja nimeghafilika ndugu.Mimi nakujua kabila lako lakini siwezi kukuita kwa kutumia kabila lako kwa sababu itanifanya nionekane nina vimelea vya ukabila!
Hapana. Najipa muda.wewe umeongea na CAG na CDF?
Wakati huu tunataka Katibu mkuu aliekulia kwenye chama .alie kua kwenye chama akiwa bado makamasi yana mtoka puani.ccm ni chama kikubwa hatutaki kurudia makosa ya kuokoteza viongozi majalalani.Kwa kifupi tuna taka Katibu mkuu kada na awe kada kwelikweli.Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.
Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!...
kheeee wewe c CCM?Ya CCM tuwaachie CCM
Wanajua nini wanafanya
Tujipe muda, badala ya kupiga ramli.Misukule ipi ya JPM aliyoipigwa chini?
Anayeipiga chini misukule ya JPM ndiye anayeambiwa na CDF siri ambayo CDF alidokezwa na Rais Magufuli mwenye misukule!
Huyu CDF sio msukule wa JPM?
Hii nchi ina vituko!
Asante pamoja nimeghafilika ndugu.
Sawa mkuu inaonekana umeumia sana Bashiru kutolewa Ukatibu mkuu kiongozi kwani Ubunge haumtoshi jamani huo Ukatibu wakapewa Wengine?Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''...
Hata asipojiuzuru hakuna ubaya. Mzee Makamba aliwahi kuwa mbunge na katibu mkuu wa CCM. Nafikiri hata KolimbaAliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.
Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!...
Unatumia mantiki sana kujenga hoja zako.Misukule ipi ya JPM aliyoipigwa chini?
Anayeipiga chini misukule ya JPM ndiye anayeambiwa na CDF siri ambayo CDF alidokezwa na Rais Magufuli mwenye misukule!
Huyu CDF sio msukule wa JPM?
Hii nchi ina vituko!
Huyo Muhaya atuli kwanza akajifunze chama, Alipandisha Mabega mno, Kuna hivi ccm imekosa kabisa watu mnashindwa kufikiria nje ya box, wapo wanacha na vijana kibao, nyie mnawaza bashiru bashiru..basi mchukueni Lipumba Kabisa.
Misukule ipi ya JPM aliyoipigwa chini?
Anayeipiga chini misukule ya JPM ndiye anayeambiwa na CDF siri ambayo CDF alidokezwa na Rais Magufuli mwenye misukule!
Huyu CDF sio msukule wa JPM?
Hii nchi ina vituko!
Acquired stupidity.Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.
Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!...
Nadhani hii nafasi ilikuwa inamfaa sana Nape Nnauye lakini akaamua kutafuta ''mshahara mkubwa zaidi'' na cheo cha Uwaziri kupitia ubunge!