Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Its a way to evade taxes 😀😀😀Kulikuwa kuna umuhimu gani wa kutaja kabila lake?
Unadhani usingetaja kabila lake basi hoja yako isingejisamia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its a way to evade taxes 😀😀😀Kulikuwa kuna umuhimu gani wa kutaja kabila lake?
Unadhani usingetaja kabila lake basi hoja yako isingejisamia?
Mama aanze na safu ingine hats huko chamaniAliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.
Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!...
Ramli zimeshaanza tenaAliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.
Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!....
Hakuna mtandao unaofatiliwa kama jamii forumDuh!
Kama ni kweli, hiyo maana yake ni nini?
Kwamba alikuwa ‘effective’ [sana] katika hiyo nafasi mpaka mwenyekiti mpya kaona ni bora amrudishe?
Ila, huu uzi usije ukawa ni uchuro maana Mama keshasema mara kadhaa sasa kuwa huwa anasoma yajiriyo kwenye mitandao ya kijamii na naamini JF ni moja ya hiyo mitandao.
Acha porojo wewe.. kwahiyo ubunge wake utatenguliwa? Yan Mtu atolewe kwenye circle ya uongozi wa nchi ya ukatibu kiongozi ampe ukatibu mkuu CCM ili aanze kuwasumbua kina Kinana na Makamba, kuita kuwahoji. HaitotokeaAliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.
Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!...
Ukweli utabaki huu tu hata mkibadilishana makoti mara mbili mbili nyie ni chawa wa Taifa mnaotukamua walalahoi kwa kutulipisha kodi huku...msafara wa Rais magari 70 mpk 100..!Huo ndio uzalendo !!! Tena ma v8 tupu Mijizi mikubwa..halafu mnatuita wanyonge....Nadhani neno ''efective'' ni pana sana.
Kwa kifupi ameibadilisha sana CCM katika utendaji wake lakini vilevile alihakikisha mapato ya CCM yanakusanywa vizuri kutoka kwenye vyanzo vyake ambavyo vingine vilikuwa vinaishia kwenye mikono ya baadhi ya viongozi ndani ya CCM.
Aliifanya ccm kua chama cha wauaji,uvccm mwenyekiti wake alisimama hadharani n kusema liisu n wapinzani ni watu wakutolewa roho,mama amrudishe kakuru kwao burundi akaongoze chama cha nkuruzinzaNadhani neno ''efective'' ni pana sana.
Kwa kifupi ameibadilisha sana CCM katika utendaji wake lakini vilevile alihakikisha mapato ya CCM yanakusanywa vizuri kutoka kwenye vyanzo vyake ambavyo vingine vilikuwa vinaishia kwenye mikono ya baadhi ya viongozi ndani ya CCM.
Nitakupa mifano halisi ya mafanikio ya Dr. Bashiru Kama katibu mkuu wa ccm ambayo ni :-Siwezi kusema amefanikiwa katika malengo yote ya CCM lakini ninaweza kusema amefanikiwa katika mengi.
vyovyote vile itakavyokuwa tumejipanga tupo tayari kwa loloteAliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.
Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!..
Nakuona CHAWA katika ubora wako , bila upambe ada za shule za watoto wenu hazilipwi !Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.
Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!...
Aggrey Mwanri!msemaji Ukweli
ukatibu ni nafasi ya utendji,kwa utulivu wa Bashiru chama kitaenda mbele.
ila uenezi mpeni "mzawa wa ccm"
tunataka mtu mwenye kukijua chama,aliyekiishi chama ambaye akisimama watu wote wanasema jembe hilo.
kheeee wewe c CCM?