Dkt. Bashiru Ally kuwa tena Katibu Mkuu wa CCM?

Dkt. Bashiru Ally kuwa tena Katibu Mkuu wa CCM?

Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Hiyo takataka ya kihutu toka Burundi ndiyo imefika mwisho wake. Tusubiri na ripoti ya BOT
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Kwani Rashidi Kawawa naye aliwahi kukwapua hela BOT? Hebu tujuze.
 
M


Mi ni mwananchi mwenye imani na serikali yangu, nina imani na rais na wasaidizi wake

Sasa hapo wewe ndio utajua serikali ni ya chama gani
ooh ok. Nimekupata. So hata Cut ikichukua serekali we poa Tu Imani itakuwepo.
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Hizo ni ndoto za mchana! Hiyo nafasi utaipata mwingine ambaye hukumtarajia. Kulikuwa na uharaka gani kumtoa Ikulu na kumfanya Mbunge kama lengo ni kumrudisha kuwa KM wa chama? Ukumbuke kuwa hata kabla ya kuondolewa Ikulu nafasi ya KM ilikuwa bado iko wazi. Mfano mzuri ni Polepole ambaye ni mbunge wa kuteuliwa na bado anafanya kazi zake za uenezi kwa sababu nafasi yake haijajazwa na mwingine.
 
Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.
Majizi makubwa yapo kwenye chama changu huku!!! alisikika Mwendazake akisema
 
Ifike hatua wapinzani wakubali tu kuwa ngoma za ccm hazidemkiki!!
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
PoYOYO ZA GENGE .....HIVI UMEONA WAPI MHISIWA WA UHAINI Akipewa heshima yeyote ?
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Mkuu pamoja na speculations zako, naomba nikukumbushe kidogo. Mzee Kikwete alipokuwa Rais alimteua Mzee Makamba kuwa Mbunge wa Kuteuliw. Baada ya kupewa Uwenyekiti wa CCM, alimteua Mzee Makamba kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Sikumbuki kama aliacha kuwa Mbunge wa Kuteuliwa.
 
Siwezi kusema amefanikiwa katika malengo yote ya CCM lakini ninaweza kusema amefanikiwa katika mengi.
Alijitoa muhanga kufagia nyumba ya chama ... Chama kimepata uhai mkubwa tangu kuruhusiwa ushindani wa vyama... Ushindi wa chama huyu ndo master mind ..Tumeshudia kelele (adimu) za Ccm Ccm Ccm ! ktk kipindi chake
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Kama itakua hivyo ,itapendeza sana
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Haiwezi kutokea katika ulimwengu wa sasa, chama kinakwenda kupata mtu mpya na kitasonga vizuri sana
 
PoYOYO ZA GENGE .....HIVI UMEONA WAPI MHISIWA WA UHAINI Akipewa heshima yeyote ?

Weka akiba ya maneno Mkuu,CCM inaweza kukushangaza. Mbona tuliambiwa Dr. Mpango alishiriki “kukwapua” Mabilion wakati wa ugonjwa wa JPM na bado akateuliwa kuwa VP,tukaaminishwa Doto James yuko under House arrest leo hii ni KM Wizara ya Viwanda na Biashara. So far hizo za “uhaini” ni tetesi tu ambazo Rais Samia kasema watu wanapigiwa ngoma na wao Wanademka.
 
Hapana. Najipa muda.

Kitendo cha kumtoa Dr Bashiru kwenye nafasi ya KMK haraka kinasema mengi sana.
MsemajiUkweli , nimeona leo nikusalimie tu. Upo salama?

Mfikishie salamu nyingi ndugu yetu Dr Bashiru. Mwambie CCM ina wenyewe!
 
Duh!

Kama ni kweli, hiyo maana yake ni nini?

Kwamba alikuwa ‘effective’ [sana] katika hiyo nafasi mpaka mwenyekiti mpya kaona ni bora amrudishe?

Ila, huu uzi usije ukawa ni uchuro maana Mama keshasema mara kadhaa sasa kuwa huwa anasoma yajiriyo kwenye mitandao ya kijamii na naamini JF ni moja ya hiyo mitandao.
🤔
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Back
Top Bottom