Dkt. Bashiru anatoa wapi ujasiri wa kutishia 'usalama' wa viongozi wa juu? Huu ni uhaini sio ukosoaji. Je, ana mahusiano na mataifa ya nje?

Dkt. Bashiru anatoa wapi ujasiri wa kutishia 'usalama' wa viongozi wa juu? Huu ni uhaini sio ukosoaji. Je, ana mahusiano na mataifa ya nje?

Anachofanya Bashiru ndicho alichofanya Lissu dhidi ya Magufuli. Mwambieni mama atulie tu kukosolewa ni haki ya kila raia kikatiba. Hoja zijibiwe kwa hoja.
Lakini Lisu alipigwa risasi 30 hadharani, na mama akasema hazikuwa risasi lakini nyie??? Acha watandikane kisiasa hakuna shida.
 
Tuna taifa la watu wapumbavu sana hakika. Hio nguvu mngeitumia kuyasema matatizo ya nishati za umeme na maji unadhani ingekuaje? Acheni upumbavu kabisa nyie mnaojipendekeza pendekeza.
Matatizo yetu kila siku tunayadili na yanasemwa haijaanza leo. Lakini sio kutishia usalama wa kiongozi
 
Anachofanya Bashiru ndicho alichofanya Lissu dhidi ya Magufuli. Mwambieni mama atulie tu kukosolewa ni haki ya kila raia kikatiba. Hoja zijibiwe kwa hoja.
Lissu alikosa lakini hakutishia usalama wa Kiongozi wa nchi
 
Jamani eeeh....tunachotaka sisi wananchi ni kushuhudia the End of CCM.....kujua nani yupo nyuma ya Bashiru haitusaidii sisi wananchi.....

Yaaani mnavyopurukushana hivi sisi ndio furaha yetu......tunataka the end of njano na kijani...tumewachookaaaaa......miaka 60 yote hio na nyie watu gani msiochoka....
End ya CCM haizuiliki lakini nchi itabaki na Usalama wake na viongozi utakuwa ni kipaumbele. Ungependa akiingia rasia kutoka Upinzani usalama wake uwe shakani?
 
Bashiru na mjinga mmoja tu huwezi mtishia raisi kindezi hivyo. Mbona wakati akiwa na buyu la asali wakati wa jiwe hakuyasema haya? Kwani wakulima wa nchi hii lini walikuwa na afueni ya maisha?
Anaongea huku anacheka. Alichofanya sio siasa ni kutishia usalama wa kiongozi na kuingilia mfumo wetu wa kiutawala na demokrasia kwa kushinikiza machafuko.

Kipindi cha Magufuli alisema akiwa anahojiwa na chombo kikubwa cha Habari kuwa watatumia Dola kushika dola, kwa akili yake huyu anapenda machafuko na umwagaji damu.
 
Kukosoa kutokana na changamoto na matatizo na kuishauri serikali na viongozi sio jambo geni.

Ila inastaajabisha kuona mtu kama Bashiru anatishia Usalama wa kiongozi wa nchi. Anaongea kwa kujiamini mbele ya kadamnasi na vyombo vya habari kuwa Usalama wa viongozi hauko na uhakika na watishwe. Ni kana kwamba hii nchi iko mikononi mwake na haogopi vyombo vya sheria na dola (ambavyo aliwahi kudai angetumia kubaki madarakani utawala uliopita)

Lakini pia anachofanya ni kuchochea mapambano, uasi, na matumizi ya njia za kuumizana katika mifumk yetu ya kidemokrasia. Maandano ndio kitu kikubwa Tanzania kimewahi kufanyika na kuogopwa lakini sio KUTISHIA USALAMA WA VIONGOZI

Kwa hali ya kawaida mtu ambaye ni mgeni katika chama na kuhudumu katika serikali kwa muda mfupi kuwa na kiburi cha kutishia Usalama wa kiongozi wa nchi bila woga

Tumeshaona viongozi kadhaa wa upinzani tangu tunapata uhuru waliosumbua lakini hakuna ambaye amewahi kutishia Usalama wa Kiongozi wa nchi.

Tusilitazame ili jambo au kauli katika jicho la kisiasa tu

Nani yuko nyumba ya Bashiru? Je, ametokea kuropoka yaliyokuwa moyoni mwake siku zote au alidhamiria kuyatoa ? Kuna nguvu ya nje ya Tanzania yetu anayojivunia? Ana asili ya Uraia nje ya Tanzania?
Acha ujinga,

Kutoa maoni na Uhaini wapi na wapi!!!
 
Kukosoa kutokana na changamoto na matatizo na kuishauri serikali na viongozi sio jambo geni.

Ila inastaajabisha kuona mtu kama Bashiru anatishia Usalama wa kiongozi wa nchi. Anaongea kwa kujiamini mbele ya kadamnasi na vyombo vya habari kuwa Usalama wa viongozi hauko na uhakika na watishwe. Ni kana kwamba hii nchi iko mikononi mwake na haogopi vyombo vya sheria na dola (ambavyo aliwahi kudai angetumia kubaki madarakani utawala uliopita)

Lakini pia anachofanya ni kuchochea mapambano, uasi, na matumizi ya njia za kuumizana katika mifumk yetu ya kidemokrasia. Maandano ndio kitu kikubwa Tanzania kimewahi kufanyika na kuogopwa lakini sio KUTISHIA USALAMA WA VIONGOZI

Kwa hali ya kawaida mtu ambaye ni mgeni katika chama na kuhudumu katika serikali kwa muda mfupi kuwa na kiburi cha kutishia Usalama wa kiongozi wa nchi bila woga

Tumeshaona viongozi kadhaa wa upinzani tangu tunapata uhuru waliosumbua lakini hakuna ambaye amewahi kutishia Usalama wa Kiongozi wa nchi.

Tusilitazame ili jambo au kauli katika jicho la kisiasa tu

Nani yuko nyumba ya Bashiru? Je, ametokea kuropoka yaliyokuwa moyoni mwake siku zote au alidhamiria kuyatoa ? Kuna nguvu ya nje ya Tanzania yetu anayojivunia? Ana asili ya Uraia nje ya Tanzania?
Mh inamaana ile issue ya mbowe ya ugaid na kutishia usalama wa viongoz ilikua uzushi 😂😂😂
 
Nyie mafisadi (familia zote mnajijua) hii nchi sio mali yenu lazima tuwatimue, tuwakimbize, tuwatimue. Mwacheni Dr Bashiru.
Kukosoa kutokana na changamoto na matatizo na kuishauri serikali na viongozi sio jambo geni.

Ila inastaajabisha kuona mtu kama Bashiru anatishia Usalama wa kiongozi wa nchi. Anaongea kwa kujiamini mbele ya kadamnasi na vyombo vya habari kuwa Usalama wa viongozi hauko na uhakika na watishwe. Ni kana kwamba hii nchi iko mikononi mwake na haogopi vyombo vya sheria na dola (ambavyo aliwahi kudai angetumia kubaki madarakani utawala uliopita)

Lakini pia anachofanya ni kuchochea mapambano, uasi, na matumizi ya njia za kuumizana katika mifumk yetu ya kidemokrasia. Maandano ndio kitu kikubwa Tanzania kimewahi kufanyika na kuogopwa lakini sio KUTISHIA USALAMA WA VIONGOZI

Kwa hali ya kawaida mtu ambaye ni mgeni katika chama na kuhudumu katika serikali kwa muda mfupi kuwa na kiburi cha kutishia Usalama wa kiongozi wa nchi bila woga

Tumeshaona viongozi kadhaa wa upinzani tangu tunapata uhuru waliosumbua lakini hakuna ambaye amewahi kutishia Usalama wa Kiongozi wa nchi.

Tusilitazame ili jambo au kauli katika jicho la kisiasa tu

Nani yuko nyumba ya Bashiru? Je, ametokea kuropoka yaliyokuwa moyoni mwake siku zote au alidhamiria kuyatoa ? Kuna nguvu ya nje ya Tanzania yetu anayojivunia? Ana asili ya Uraia nje ya Tanzania?
Nyie mafisadi (familia zote mnajijua) hii nchi sio mali yenu lazima tuwatimue, tuwakimbize, tuwatimue. Mwacheni Dr Bashiru.
 
Tuna taifa la watu wapumbavu sana hakika. Hio nguvu mngeitumia kuyasema matatizo ya nishati za umeme na maji unadhani ingekuaje? Acheni upumbavu kabisa nyie mnaojipendekeza pendekeza.
Haya majitu ni majinga kupita ujinga wenyewe.
 
We nawe Sasa ndo umeandika nini?
eti kuongea kwa kujiamini kunahatarisha USALAMA wa viongozi.

Tunataifa la hovyo.
SI ungekaa kimya tu liuzi Gani hili
 
Back
Top Bottom