Huwezi jua sababu we ni wa mtandao. Nyie ndio wale siku ya uchaguzi unaamka na hangover kisha unafatilia uchaguzi kwenye mtandao.Tuliona wizi ule kwa macho, nije huko vichochoroni kutafuta ushahidi gani?
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - KikweteUVCCM wameanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc
Time will tell!
Napee mwenyewe ni mzee wa kubebwa bebwa tu, ila ni mweupe pee kichwani!.Wameanza kumjadili kwenye vikao vya familiaView attachment 2421381
Huyu inawezekana amepungukiwa hekima.....mtu katoa maoni yake pasipo kuvunja sheria lakini anaanza kumtishia kwa kuandika vijembe vya kijinga.Wameanza kumjadili kwenye vikao vya familiaView attachment 2421381
Yaani humu JF kuna mijitu mijinga kiwango mfano hakuna!Huyo Bashiru hata wakimdhuru ni sawa tu, ili avune uovu aliousimamia kwa wote waliokuwa wanamkosoa Magufuli.
Hiyo 2025 unayosema ni kupoteza muda. Labda kama uongelee machafuko na sio box la kura. Magufuli alishatengeneza presidence ya kutoheshimu box la kura, na akasifiwa na waliofaidika na uhayawani ule. Hivyo 2025 mchezo utakuwa ni huohuo.
Huwezi jua sababu we ni wa mtandao. Nyie ndio wale siku ya uchaguzi unaamka na hangover kisha unafatilia uchaguzi kwenye mtandao.
Yaani humu JF kuna mijitu mijinga kiwango mfano hakuna!
Dr. Bashiru huyu leo aitwe freemind? hiyo freemind ya Bashiru imeanza leo ama jana?
Kwamba watu mara hii wameshasahau ni huyu huyu aliyekuwa akiwatishia wapinzani kwa kauli zake ili tu apate kumkosha bwanaake mwendazake?
Si ni huyu na mwenzie slow slow walikuwa wakifadhili biashara haramu wa kununua wapinzani, kupitia vitendo vyao hivyo wakaumiza watanzania walio wengi kwa matukio ya kigaidi?
Akina Alphonce Mawazo wako wapi leo?
Aaakh....... wacha niishie hapa kwanza!!!!!
Acha chuki za kijinga, Mawazo aliuwawa enzi za JKYaani humu JF kuna mijitu mijinga kiwango mfano hakuna!
Dr. Bashiru huyu leo aitwe freemind? hiyo freemind ya Bashiru imeanza leo ama jana?
Kwamba watu mara hii wameshasahau ni huyu huyu aliyekuwa akiwatishia wapinzani kwa kauli zake ili tu apate kumkosha bwanaake mwendazake?
Si ni huyu na mwenzie slow slow walikuwa wakifadhili biashara haramu wa kununua wapinzani, kupitia vitendo vyao hivyo wakaumiza watanzania walio wengi kwa matukio ya kigaidi?
Akina Alphonce Mawazo wako wapi leo?
Aaakh....... wacha niishie hapa kwanza!!!!!
Kwa uhayawani aliowafanyia watanzania huyo Bashiru kipindi cha mwendazake hata huko kumuita Mbwa ni upendo tu kwake!Mbwa tena!! Kweli wagonjwa mpo wengi. Kula ubwabwa wako na kibua ukalale.
kujifanya huoni kilichopo ni ujinga marambili, punguwani wahead...Acha chuki za kijinga, Mawazo aliuwawa enzi za JK
Kwa sababu kinachodaiwa mbolea inatolewa kwa wakulima ni uongo na ulaghai mtupu; hata shamba la CCM lenyewe kule Kidomole/Makurunge hali ni mbaya sio kama ilivyokuwa enzi za JPM lilishamiri vizuriMbona JPM alikuwa anasifiwa na hakumsema? Why amseme Samia?
Double standard.. kama watammimina itakuwa haki yake
Acha kulazimisha sifa za ujinga hakuna lolote shetanikujifanya huoni kilichopo ni ujinga marambili, punguwani wahead...
JPM na SSH wametukosea na kiutudharau sana watu wa nyika ya kutangatanga kwa kumpa uwaziri NA&PE.Wameanza kumjadili kwenye vikao vya familiaView attachment 2421381
Bashiru alitimitiza wajibu wake ndani ya chama kwa nafasi aliyopewa. Kama wanaccm walimkubali we ni nani umchukie.Kwa uhayawani aliowafanyia watanzania huyo Bashiru kipindi cha mwendazake hata huko kumuita Mbwa ni upendo tu kwake!
Hafai kulinganishwa na mnyama bora kama mbwa huyo mtu!!
JPM hakupenda mipasho lakini mwenye kupenda mipasho kamrejesha kwa hiyo lawama mpe wa sasa sio JPMJPM na SSH wametukosea na kiutudharau sana watu wa nyika ya kutangatanga kwa kumpa uwaziri NA&PE.
Jamaa akili ndoo sana mtu wa mipasho na mihemko, sasa hivi wizara anayo ongoza imekuwa ya ovyo sana.
Daah!! Nchi ilikuwa imeelekezwa Kibla na utawala wa chinja chinja.NYIE UVCCM MBONA HUYU KIPINDI AKIWA MWENYEKITI WENU HAMKUMWAMBIA AJITAFAKARI KWA MATAMSHI YAKE ?View attachment 2421256
Namchukia kwa mabaya aliyoyafanya,Bashiru alitimitiza wajibu wake ndani ya chama kwa nafasi aliyopewa. Kama wanaccm walimkubali we ni nani umchukie.
Kama ambavyo ukitenda mema huishi kutajwa kwa wema na walio hai, ndivyo vivyo hivyo ukitenda mabaya hutajwa!!JPM hakupenda mipasho lakini mwenye kupenda mipasho kamrejesha kwa hiyo lawama mpe wa sasa sio JPM