mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
SH.Japo ni msemo unaouma ila sometimes Trump alikua sahihi...
dodge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SH.Japo ni msemo unaouma ila sometimes Trump alikua sahihi...
CCM bana.CCM chama cha wanyonge, nawaona CCM wenzangu hapo aka wanyonge wenzangu.
Enzi za Mzee Kikwete chama kiliporwa kwa wanyonge wakakichukua mafisadi CDM, sasa chama kimerudi tena kwa wanyonge na maendeleo yanakuja kwa kasi balaa, Unyonge ni sifa nzuri sana jamani na ni raha sana kuwa mnyonge na ukachagua chama cha wanyonge CCM.. Tumeamua kuwa wanyonge.
Masikini kikwete anachambuliwa kama karanga na mtu asiye na soni
Bashiru aikuwa mwanachama wa CUF. Waache watukane, ila kuanzia Oktoba watajinyea kwenye chupiDr Bashiru kabla ya kuwa Katibu mkuu wa CCM aliwahi pia kuwa katibu mkuu wa chama gani?
Miaka 15-16 tu kama upo smart!Hivi nikianza form one mwakani inaweza kunichukua miaka mingapi ili niwe na PHD, Msaada tafadhali.
Inategemea.... nasikia kuna wanaohama na mishahara yao kama wametoka sehemu fulani. Mfano huyo alikua lecturer UDSM kwahiyo tafuta mshahara wakeHivi katibu mkuu wa ccm analipwa bei gani kwa mwezi labda mjadala uanzie hapo
Udsm!
matusi atakayotukanwa hajawahi vile tuombe uhai tuHawa watakuja kumtukana Magu siku za usino,subiri atoke madarakani!
Tume ya Warioba!Kumbe alikuwa ni katibu mkuu wa hicho chama UDSM. Bila shaka atakuwa anauzoefu sana wakuwa Katibu mkuu kabla ya kupewa hii kazi, Nafikiri hata Polepole naye anauzoefu sana wa kuwa katibu mwenezi huko nyuma sijui naye alikuwa katibu mwenezi wa chama gani.?
Shetani hana rafiki , Kikwete alionywa akapuuza , sasa atulie maana mipango ya " kumkamata " imeiva .Masikini kikwete anachambuliwa kama karanga na mtu asiye na soni
Tufanye hesabu kidogo..
Kuanzi form 1 yako
mpaka olevo = 4 Years
Mpaka Alevo = 2Years
Mapaka chuo = 3 Years (Kama wewe ni ngwini, kama utasome MD au engineering tenga miaka 4 au 5)
Mpaka masters = 2 Years.
Mpaka PhD = 3 to 4 Years
Jumla => 4 + 2 + 3 + 2 + 4 = 15 Years!
Amefuga misukule sasa misukule (Bashiru) imehitimuShetani hana rafiki , Kikwete alionywa akapuuza , sasa atulie maana mipango ya " kumkamata " imeiva .
Eti leo Bashiru ni wa kumfanyia hivi Kikwete kweli ?Amefuga misukule sasa misukule (Bashiru) imehitimu