Uchaguzi 2020 Dkt Bashiru: CCM haipo tayari kupoteza jimbo la Iringa Mjini

Dr ,impartiality is quite needed during general election political intrigues are temporary measures that will spoil our political image internationally
 
Acha ukabila wewe jibu hoja ya msingi mpangaji anatakiwa kupisha mwenye nyumba yake anaitaka
zwazwa kwelikweli. mwenye nyumba ya jimbo la iringa mjini ni wapiga kura wa jimbo hilo. walimwona msigwa wa chadema anatosha. wakamchagua na kumwacha wa ccm. labda kwa goli la mkono!
 
Kupoteza au kutokupoteza jimbo ni maamuzi ya wananchi wala sio katibu mkuu wa chama, hawa ccm wana dharau sana wanaonaga wananchi kama mazombie/misukule isiyojitambua,isiyoweza kujua kiongozi gani anafaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kwani awamu hii ya tano viongozi wanapatikana kwa njia ya kura? Huyo katibu mkuu hayuko sahihi kusema hivyo, lakini kiuhalisia ndio hivyo. Ni jimbo lipi wapinzani watatangazwa washindi eti kwasababu wameshinda kwenye box la kura?
 
Usilie mchungaji ajiandae kuchunga kanisa sio jimbo au kama vipi anunue mbuzi akachunge

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
kama watakwenda kwa ubabe wa polisi na mabomu ya machozi na ubabe wa kutumia risasi hapo sawa, lakini kama watakwenda kwa haki, sidhani kama ccm itapita, labda wampige chini na wa kwao apite bila kupingwa kama walivoyfanya serikali za mitaa
 
Dr ,impartiality is quite needed during general election political intrigues are temporary measures that will spoil our political image internationally
kwanza nikushangae kwa ruhusa yako mwenyewe. at last you have come to your senses. kuhusu huyu dr, it's an abortion. alijijengea heshima kama mchambuzi wa siasa. kama mwanamke mpumbavu abomoavyo nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe, bashiru anabomoa heshima yake kwa maneno yake mwenyewe. hajawa profesa lakini aliheshimika kuliko hao maprofesa na hata mentot wake dr bana!:kyaruzi mfanyie huo ushauri kwa kilugha cha kwenu( bojo kaziro). upumbavu amwachie m/kiti wake na sampuli zake. he's stooping too low!
 
Haya kazi kwenu polisi na tume ya uchaguzi, jukumu jingine hilo mmepewa na bosi wenu.
KURA YANGU SIYO HAKI YANGU.
 
P
Pascal unasapoti wizi wa kura uliopangwa na dunderhead mkuu aliyesukumizwa bila aibu kabisa.Swali Bashiru ndio anapiga kura?
 
Hivi Hivi Mwisho wake nani alishinda? Kama unamjua aliye shinda basi usilinganishe - aliyo yasema Katibu wa CCM.
 
Who cares?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashiru ni msaliti wa wahaya, walidhulumiwa rambirambi yeye akahongwa ukatibu,akashindwa kuwatetea wahaya wenzake waliyokumbwa na tetemeko. Bashiru katumika kuwanyonga wahaya, jinga kabisa.
 
Chakaza,
Acha ukabila wewe jibu hoja ya msingi mpangaji anatakiwa kupisha mwenye nyumba yake anaitaka
Hoja ya ukabila umekuja nayo wewe! Au unaizungumzia Ile hoja ya kabudi mwanza kuwa nguvu ya ccm ipo Kanda ya ziwa huku kwingine ni za kujazilizia tu?! Kauli Ile inahamasisha Nini Kama sio ukanda na ukabila?
Nikutaarifu tu kuwa, bashiru na polepole wapo ccm kimkakati ili wakipasue chama mapande manne kama siyo sita na ccm itapotolea na kuwafia mikononi mwao! Utaniita mpiga ramli, ni sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…