Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Unaujua ushindi wa vita ni nini? Ukishatambua hilo rudi tena uulize swali lako. Vita vina ushindi wa aina nyingi sana, kwa nini Mkwawa aliitwa shujaa?Hivi
Hivi Mwisho wake nani alishinda? Kama unamjua aliye shinda basi usilinganishe - aliyo yasema Katibu wa CCM.