Unaujua ushindi wa vita ni nini? Ukishatambua hilo rudi tena uulize swali lako. Vita vina ushindi wa aina nyingi sana, kwa nini Mkwawa aliitwa shujaa?Hivi
Hivi Mwisho wake nani alishinda? Kama unamjua aliye shinda basi usilinganishe - aliyo yasema Katibu wa CCM.
Mkuu Vikingi, the end justifies the means.Only moron people can say that ,uchaguzi WA wenyeviti wa Mitaa tu mmecheza rafu
Election should free and fair. ANYTHING ELSE IT IS NOT ELECTIONMkuu Vikingi, the end justifies the means.
na uchaguzi Mkuu wa 2920, wembe ni ule ule!.
Pole.
P
Njaa mbayaMkuu Vikingi, the end justifies the means.
na uchaguzi Mkuu wa 2020, wembe ni ule ule!.
Pole.
P
Hamueleweki, kusema sehemu yetu ya Strong hold ni ukabila? Huko upinzani wapanga mikakati wameisha asee, mpigieni magoti to Dr. Arudi la sivyo bashiru anawalaza na viatuHoja ya ukabila umekuja nayo wewe! Au unaizungumzia Ile hoja ya kabudi mwanza kuwa nguvu ya ccm ipo Kanda ya ziwa huku kwingine ni za kujazilizia tu?! Kauli Ile inahamasisha Nini Kama sio ukanda na ukabila?
Nikutaarifu tu kuwa, bashiru na polepole wapo ccm kimkakati ili wakipasue chama mapande manne kama siyo sita na ccm itapotolea na kuwafia mikononi mwao! Utaniita mpiga ramli, ni sawa.
Chama Cha police CCP kinataka kuchukua Jimbo la IringaUsilie mchungaji ajiandae kuchunga kanisa sio jimbo au kama vipi anunue mbuzi akachunge
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajipa moyo usiokuwa nao! Kama kwenye tests na mitihani yake tulilala na boksa Hadi asubuhi na tukatoboa utakuwa huku mtaani? Kwa kifupi tu hanaga lolote zaidi ya kujibebesha na dola!Hamueleweki, kusema sehemu yetu ya Strong hold ni ukabila? Huko upinzani wapanga mikakati wameisha asee, mpigieni magoti to Dr. Arudi la sivyo bashiru anawalaza na viatu