Shukrani sana kuliona hilo, ni kweli wengi wanao msema vibaya na kumbeza beza Dk.Bashiru ni wale ambao walikuwa wamejimilikisha mali ya CHAMA tawala - Bashiru ndiye kasimamia zoezi zima la kuwanyanganya mali za CHAMA wezi walio kubuhu, alitekeleza kazi aliyo pewa na Chama kwa ufanisi mkubwa bila ya kuogopa mtu - sasa zoezi hilo la kuonyesha uzalendo wa kweli ndio limemjengea maadui wengi wanao shinda humu wakimkandia na kuleta stori za kutunga tu, wanatamani afukuzwe mpaka kwenye chama kama ikiwezekana!!