Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Aendelee KUIJARIBU MITAMBO ya maangamizi, aliyokuwa anatambia!Alikuwa anajimwambafai kuwa wao kama ccm wanaendelea kutawala kwa kuitumia dola.
Sasa anashindwa nini kuitumia dola akalazimisha kubakia jengo jeupe akila kuku?
Makonda atapeta kwa lipi? Bashiru alipanda haraka sana na ameshuka hivyo hivyo!! Makonda atapeta mbele ya Mpango; au umesahau alivyotolewa jasho na yale makontena na Jiwe akiwepo?Hana skendo mbaya BOT ila ukanda na ukabila ndo unamponza, sasa makonda anapeta
Uswahili tunaungaunga dot
SAMIA, BASHIRU, MAJARIWA, CDF, JK, MWINYI.
Wacha tuuze maji ya mzee kandoro
Kwishney, huyu mama ana mahesabu makali sana kwa kuanza kupiga deki mjengoniAendelee KUIJARIBU MITAMBO ya maangamizi, aliyokuwa anatambia!
Kwani sasa hivi hayupo kwenye dola?Alikuwa anajimwambafai kuwa wao kama ccm wanaendelea kutawala kwa kuitumia dola.
Sasa anashindwa nini kuitumia dola akalazimisha kubakia jengo jeupe akila kuku?
Hahaha nina tabiri hatauliza swali lolote bungeni pengine yupo kifungo cha bungeni!Kabisa yaani yeye na Jah people wa makambako hana tofauti na DR Bashiru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Umetabiri vizuri sana mkuu ki saikolojia atalazimika kukaa kimya sana na kama ataenda huko bungeni ni kufuata michuzi tuHahaha nina tabira hatauliza swali lolote bungeni pengine yupo kifungo cha bungeni!
Umeandika point kubwa sanaWakati nasoma chuo kikuu cha Dar es salaam enzi zile Hayati Dr.
Magufuli akimalizia masomo yake ya Shahada ya Uzamivu, nilimtambua Dkt Bashiru kama Msomi, Mzalendo, Mjamaa na mpenda mabadiliko ya dhati kwa maendeleo ya wananchi.
Kamwe sikutarajia kama IPO siku Dkt Bashiru atakuwa sehemu ya Chama tawala wala Serikali iliyopo madarakani maana viongozi wenzake wangempinga na kumtenga kutokana na imani na itikadi yake ya kuwakomboa watanzania kutoka katika umasikini, rushwa, maradhi na ujinga.
Naamini 100% kwamba Dkt Bashiru pia hakuwahi kufikiria kugombea vyeo vya kisiasa wala nafasi za uongozi.
Hulka yake, uzalendo wake na uchapa kazi wake ndizo tunu zilizomgusa JPM hadi kumuona kama msaada mkubwa katika kurudisha nidhamu ya chama na uwajibikaji wa chama kwa wananchi. Kazi hiyo aliifanya vyema na kurejesha nidhani, Hadji na sifa ya chama katika jamii.
Mafanikio ya Bashiru katika Chama, yalimuaminisha Mheshimiwa Hayati JPM kwamba Bashiru anafaa kuziba pengo LA katibu Mkuu Kiongozi
Hakika ni kwamba uteuzi wa Bashiru kushika Ukatibu Mkuu wa Chama, uliwashangaza wengi kama ambavyo pia uteuzi wa Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ulivyowashtua wengi.
Leo hii, mheshimiwa Rais Samia ametengua uteuzi huo kwa kumteua katibu Mkuu Mwingine na Kumteua Dkt Bashiru kuwa Mbunge.
Mheshimiwa Bashiru, hiki ni kipimo cha ukomavu na weledi ndani ya kipindi kifupi.
Kuwa na moyo dhabiti na utulivu wa nafsi na kukubaliana na hali. Endelea kuchapa kazi kwa weledi, usithubutu kuungana na kundi lolote, simamia msimamo wako.
Tambua pia kwamba, mabadiliko makubwa uliyoanzisha katika chama yamekujengea chuki na uhasama mkubwa kwa mafisadi ndani na nje ya chama. Unapaswa kuchukua tahadhali zote za msingi.
Baada ya mtikisiko mfupi, utazidi kuwa imara zaidi na nyota yako itang'ara. Kila LA kheri katika Majukumu yako ya Kibunge, saidiana na Mh. Polepole kukiimarisha chama na kumuunga mkono kwa dhati Mama Yetu Samia Suluhu Hassan. Uamuzi wake usikurudishe nyuma, Songa Mbele
Badooo tunamsubiri MAJALIWA.Hapo dot zenu zimeunganika?
Hahaha haha bwana chawa aise mtafute akupatie hata pesa ya kula kwa hii kazi aliyokutuma... Chawa mna kazi duh
Inaelekea kuna kitu alikosea Mhshimiwa yani ina onekana bora akae karibu na nyoka kuliko huyu jamaa!!Umetabiri vizuri sana mkuu ki saikolojia atalazimika kukaa kimya sana na kama ataenda huko bungeni ni kufuata michuzi tu
Unamsubiri Majaliwa wapi wakati CABINET ndio hiyo mama ameitangaza!!Badooo tunamsubiri MAJARIWA.
UmeonaeeeeeeeeeeeeInaelekea kuna kitu alikosea Mhshimiwa yani ina onekana bora akae karibu na nyoka kuliko huyu jamaa!!
View attachment 1739794
Akiulizaa mkuuHuyu Bashiru alikuwa na kauli za kuchochea chuki sana ni halali apumzikie huko bungeni akijibu maswali ya nyongeza
Wewe unaye msifia sana lakini wengine tunamuona tofauti,tulikuwa tuna muona kwenye mikamera kama anayejitoa ufahamu,sikia watu wana uwezo mzuri wa kifikiri na huo uwezo mzuri wa kufikiri hutokana matumizi makubwa ya ubungo binadamu ana akili nyingi sana lkn binadamu huyo huyo asipo utumia ubongo wake mwingi anakua hana akili,nataka kukufaahamisha kwamba kuna watu wana akili sana kuliko hata huyo unaye msifia ila hawajapata hizo nafasiWakati nasoma chuo kikuu cha Dar es salaam enzi zile Hayati Dr.
Magufuli akimalizia masomo yake ya Shahada ya Uzamivu, nilimtambua Dkt Bashiru kama Msomi, Mzalendo, Mjamaa na mpenda mabadiliko ya dhati kwa maendeleo ya wananchi.
Kamwe sikutarajia kama IPO siku Dkt Bashiru atakuwa sehemu ya Chama tawala wala Serikali iliyopo madarakani maana viongozi wenzake wangempinga na kumtenga kutokana na imani na itikadi yake ya kuwakomboa watanzania kutoka katika umasikini, rushwa, maradhi na ujinga.
Naamini 100% kwamba Dkt Bashiru pia hakuwahi kufikiria kugombea vyeo vya kisiasa wala nafasi za uongozi.
Hulka yake, uzalendo wake na uchapa kazi wake ndizo tunu zilizomgusa JPM hadi kumuona kama msaada mkubwa katika kurudisha nidhamu ya chama na uwajibikaji wa chama kwa wananchi. Kazi hiyo aliifanya vyema na kurejesha nidhani, Hadji na sifa ya chama katika jamii.
Mafanikio ya Bashiru katika Chama, yalimuaminisha Mheshimiwa Hayati JPM kwamba Bashiru anafaa kuziba pengo LA katibu Mkuu Kiongozi
Hakika ni kwamba uteuzi wa Bashiru kushika Ukatibu Mkuu wa Chama, uliwashangaza wengi kama ambavyo pia uteuzi wa Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ulivyowashtua wengi.
Leo hii, mheshimiwa Rais Samia ametengua uteuzi huo kwa kumteua katibu Mkuu Mwingine na Kumteua Dkt Bashiru kuwa Mbunge.
Mheshimiwa Bashiru, hiki ni kipimo cha ukomavu na weledi ndani ya kipindi kifupi.
Kuwa na moyo dhabiti na utulivu wa nafsi na kukubaliana na hali. Endelea kuchapa kazi kwa weledi, usithubutu kuungana na kundi lolote, simamia msimamo wako.
Tambua pia kwamba, mabadiliko makubwa uliyoanzisha katika chama yamekujengea chuki na uhasama mkubwa kwa mafisadi ndani na nje ya chama. Unapaswa kuchukua tahadhali zote za msingi.
Baada ya mtikisiko mfupi, utazidi kuwa imara zaidi na nyota yako itang'ara. Kila LA kheri katika Majukumu yako ya Kibunge, saidiana na Mh. Polepole kukiimarisha chama na kumuunga mkono kwa dhati Mama Yetu Samia Suluhu Hassan. Uamuzi wake usikurudishe nyuma, Songa Mbele