Dkt. Bashiru piga moyo konde na usonge mbele

Dkt. Bashiru piga moyo konde na usonge mbele

Mm sipo upande wowote hapa, ila nimejarib tuu kuwaza hapa namana Dr bashiru alivyoweza kupambana ndan ya chama mpka chama kimeweza kupata ushind tena wa kishindo, nadhan huyu jamaa alipambana sana katika hili lakin leo hii ndo kwisha habari yake katika siasa ni kama amepotzwa mazma. Hapa kuna funzo kubwa kwa wanasiasa wetu wa Tanzania, anguko hili la Dr Bashiru kuna cha kujifunza hapaa.kutoka katibu mkuu wa ccm, katibu mkuu kiongoz had mbunge wa kuteuliwa
 
Ni hatari sana. Chama tawala ukisifiwa na wapiinzani shtuka. Mama chonde chonde. Ila wananchi wa kawaida wanaona. Asihadaiwe na kushangiliwa mitandaoni.
Mama kaingia mkenge wa wapinzani. Muda ni mwalimu tutaona mengi.

Mimi nina mashaka kama huyu mama ata deliver chochote.
 
Miaka miwili ijayo utakuja na mada ingine
kumlaumu Rais wako huyu, si tunangoja muda tu. Miafrika ndivyo mlivyo cc Nyani ngabu.
Siyo Mimi. Mtasubiri sana mkitegemea atakosea. Huyu ni Mh. Samia Suluhu Hassan pekee. Hawezi kuwa mnyama huyu ni binadamu anajali utu.
 
Back
Top Bottom