kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Kwa kununua wabunge na wizi wa kura....Daktari Bashiru ndie Katibu Mkuu aliyetuvusha kurudisha majimbo yote CCM,hii ni historia na itakumbukwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kununua wabunge na wizi wa kura....Daktari Bashiru ndie Katibu Mkuu aliyetuvusha kurudisha majimbo yote CCM,hii ni historia na itakumbukwa.
KARMA!!Kilio cha wanyonge, hujibiwa na Mungu instantly
Hiyo historia kumbuka wewe na mumeo usitushirikishe sisi😏Daktari Bashiru ndie Katibu Mkuu aliyetuvusha kurudisha majimbo yote CCM,hii ni historia na itakumbukwa.
Hizi tabia za kudharau wanawake uzikome! Tuko kwenye karne nyingine, OK?Achape kazi ipi? hiyo ya viti maalumu kama wanawake?
Ngojeni uchunguzi wa special Audi ya BOT nyie team Jiwe ndio muanze kujitetea! Huko nyuma mwalimu enzi zake alikuwa na wafuasi wengi lakini baada ya kufa wengi wao waliikana imani yake ya ujamaa!!! Kwahiyo Jiwe hatakuwa wa kwanza kukanwa!!! Chama chenu ni cha wanafiki. Bashiru sasa anaisoma namba!!!
Haya mamaHizi tabia za kudharau wanawake uzikome! Tuko kwenye karne nyingine, OK?
Bashiru ni mnafiki mkubwa na alipewa ukatibu mkuu kiongozi kisiasa tu wala si kwa weledi wake. Ukanda ulizidi wskati wa hayati.Wakati nasoma chuo kikuu cha Dar es salaam enzi zile Hayati Dr.
Magufuli akimalizia masomo yake ya Shahada ya Uzamivu, nilimtambua Dkt Bashiru kama Msomi, Mzalendo, Mjamaa na mpenda mabadiliko ya dhati kwa maendeleo ya wananchi.
Kamwe sikutarajia kama IPO siku Dkt Bashiru atakuwa sehemu ya Chama tawala wala Serikali iliyopo madarakani maana viongozi wenzake wangempinga na kumtenga kutokana na imani na itikadi yake ya kuwakomboa watanzania kutoka katika umasikini, rushwa, maradhi na ujinga.
Naamini 100% kwamba Dkt Bashiru pia hakuwahi kufikiria kugombea vyeo vya kisiasa wala nafasi za uongozi.
Hulka yake, uzalendo wake na uchapa kazi wake ndizo tunu zilizomgusa JPM hadi kumuona kama msaada mkubwa katika kurudisha nidhamu ya chama na uwajibikaji wa chama kwa wananchi. Kazi hiyo aliifanya vyema na kurejesha nidhani, Hadji na sifa ya chama katika jamii.
Mafanikio ya Bashiru katika Chama, yalimuaminisha Mheshimiwa Hayati JPM kwamba Bashiru anafaa kuziba pengo LA katibu Mkuu Kiongozi
Hakika ni kwamba uteuzi wa Bashiru kushika Ukatibu Mkuu wa Chama, uliwashangaza wengi kama ambavyo pia uteuzi wa Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ulivyowashtua wengi.
Leo hii, mheshimiwa Rais Samia ametengua uteuzi huo kwa kumteua katibu Mkuu Mwingine na Kumteua Dkt Bashiru kuwa Mbunge.
Mheshimiwa Bashiru, hiki ni kipimo cha ukomavu na weledi ndani ya kipindi kifupi.
Kuwa na moyo thabiti na utulivu wa nafsi na kukubaliana na hali. Endelea kuchapa kazi kwa weledi, usithubutu kuungana na kundi lolote, simamia msimamo wako.
Tambua pia kwamba, mabadiliko makubwa uliyoanzisha katika chama yamekujengea chuki na uhasama mkubwa kwa mafisadi ndani na nje ya chama. Unapaswa kuchukua tahadhari zote za msingi.
Baada ya mtikisiko mfupi, utazidi kuwa imara zaidi na nyota yako itang'ara. Kila LA kheri katika Majukumu yako ya Kibunge, saidiana na Mh. Polepole kukiimarisha chama na kumuunga mkono kwa dhati Mama Yetu Samia Suluhu Hassan. Uamuzi wake usikurudishe nyuma, Songa Mbele
Ajibu maswali gani!? "Yeye kwa Sasa ni Sawa tu na yule Mbunge wa Ulanga Goodluck Mkinga au yule mama wa THE BIG SEX PEYERS.Huyu Bashiru alikuwa na kauli za kuchochea chuki sana ni halali apumzikie huko bungeni akijibu maswali ya nyongeza
Naomba msaada; Dr. Bashiru Ally ni Balozi wa aina gani?Mkuuu kufurahia Mabaya ya mwenzako ni dalili mbaya sana na ni hulka ya Kimaskini na inatupa picha kwamba wewe ni mtu wa aina gani.
Kikubwa tumwombee Bashiru apokee mabadiliko haya kwa mtazamo chanya. Kwa wanaomfahamu Bashiru tangu akiwa Department ya Political Science pale the Hill watakuwa mshahidi kwamba Kilichomponza Bashiru ni Nidhamu yake na Usikivu wake kwa Boss wake. Mhe. Balozi Kakurwa jipe Moyo haya ni mapito tu🙏🙏🙏
Ama kweli wahenga walisema maiti haikosi mzikajiWakati nasoma chuo kikuu cha Dar es salaam enzi zile Hayati Dr.
Magufuli akimalizia masomo yake ya Shahada ya Uzamivu, nilimtambua Dkt Bashiru kama Msomi, Mzalendo, Mjamaa na mpenda mabadiliko ya dhati kwa maendeleo ya wananchi.
Kamwe sikutarajia kama IPO siku Dkt Bashiru atakuwa sehemu ya Chama tawala wala Serikali iliyopo madarakani maana viongozi wenzake wangempinga na kumtenga kutokana na imani na itikadi yake ya kuwakomboa watanzania kutoka katika umasikini, rushwa, maradhi na ujinga.
Naamini 100% kwamba Dkt Bashiru pia hakuwahi kufikiria kugombea vyeo vya kisiasa wala nafasi za uongozi.
Hulka yake, uzalendo wake na uchapa kazi wake ndizo tunu zilizomgusa JPM hadi kumuona kama msaada mkubwa katika kurudisha nidhamu ya chama na uwajibikaji wa chama kwa wananchi. Kazi hiyo aliifanya vyema na kurejesha nidhani, Hadji na sifa ya chama katika jamii.
Mafanikio ya Bashiru katika Chama, yalimuaminisha Mheshimiwa Hayati JPM kwamba Bashiru anafaa kuziba pengo LA katibu Mkuu Kiongozi
Hakika ni kwamba uteuzi wa Bashiru kushika Ukatibu Mkuu wa Chama, uliwashangaza wengi kama ambavyo pia uteuzi wa Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ulivyowashtua wengi.
Leo hii, mheshimiwa Rais Samia ametengua uteuzi huo kwa kumteua katibu Mkuu Mwingine na Kumteua Dkt Bashiru kuwa Mbunge.
Mheshimiwa Bashiru, hiki ni kipimo cha ukomavu na weledi ndani ya kipindi kifupi.
Kuwa na moyo thabiti na utulivu wa nafsi na kukubaliana na hali. Endelea kuchapa kazi kwa weledi, usithubutu kuungana na kundi lolote, simamia msimamo wako.
Tambua pia kwamba, mabadiliko makubwa uliyoanzisha katika chama yamekujengea chuki na uhasama mkubwa kwa mafisadi ndani na nje ya chama. Unapaswa kuchukua tahadhari zote za msingi.
Baada ya mtikisiko mfupi, utazidi kuwa imara zaidi na nyota yako itang'ara. Kila LA kheri katika Majukumu yako ya Kibunge, saidiana na Mh. Polepole kukiimarisha chama na kumuunga mkono kwa dhati Mama Yetu Samia Suluhu Hassan. Uamuzi wake usikurudishe nyuma, Songa Mbele
Mimi hasa najishangaa namhurumia Bashiru - siyo yeye kama yeye lakini ni symbolic. Mimi binafsi nishapitia alichopitia na sikia kwa mtu. Sijui yeye lakini lies move faster than truth nilisimamishwa kazi miezi 8 kwa tuhuma za uongo na boss akanichukia saana kumbe nilikuwa threat kwa watu fulani kazini hasa wanaposikia nasifiwa boardroom. Nisiseme mengi maana kuna watu humu watajua Theodora ni nani,hasa waliyonishika mkono na kunifariji wakati huo mgumu.Mimi sitaki Kuwa Muongo, Nimejikuta Nakuwa na Chuki Na Rais Kwa Sasa, Anisamehe Ila Moyo Wangu Umejaa Gadhabu Sana Juu Yake [emoji19][emoji19][emoji19]
Mimi ni babaHaya mama
Ok sorry MkuuMimi ni baba
Maneno mjarabuWakati nasoma chuo kikuu cha Dar es salaam enzi zile Hayati Dr.
Magufuli akimalizia masomo yake ya Shahada ya Uzamivu, nilimtambua Dkt Bashiru kama Msomi, Mzalendo, Mjamaa na mpenda mabadiliko ya dhati kwa maendeleo ya wananchi.
Kamwe sikutarajia kama IPO siku Dkt Bashiru atakuwa sehemu ya Chama tawala wala Serikali iliyopo madarakani maana viongozi wenzake wangempinga na kumtenga kutokana na imani na itikadi yake ya kuwakomboa watanzania kutoka katika umasikini, rushwa, maradhi na ujinga.
Naamini 100% kwamba Dkt Bashiru pia hakuwahi kufikiria kugombea vyeo vya kisiasa wala nafasi za uongozi.
Hulka yake, uzalendo wake na uchapa kazi wake ndizo tunu zilizomgusa JPM hadi kumuona kama msaada mkubwa katika kurudisha nidhamu ya chama na uwajibikaji wa chama kwa wananchi. Kazi hiyo aliifanya vyema na kurejesha nidhani, Hadji na sifa ya chama katika jamii.
Mafanikio ya Bashiru katika Chama, yalimuaminisha Mheshimiwa Hayati JPM kwamba Bashiru anafaa kuziba pengo LA katibu Mkuu Kiongozi
Hakika ni kwamba uteuzi wa Bashiru kushika Ukatibu Mkuu wa Chama, uliwashangaza wengi kama ambavyo pia uteuzi wa Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ulivyowashtua wengi.
Leo hii, mheshimiwa Rais Samia ametengua uteuzi huo kwa kumteua katibu Mkuu Mwingine na Kumteua Dkt Bashiru kuwa Mbunge.
Mheshimiwa Bashiru, hiki ni kipimo cha ukomavu na weledi ndani ya kipindi kifupi.
Kuwa na moyo thabiti na utulivu wa nafsi na kukubaliana na hali. Endelea kuchapa kazi kwa weledi, usithubutu kuungana na kundi lolote, simamia msimamo wako.
Tambua pia kwamba, mabadiliko makubwa uliyoanzisha katika chama yamekujengea chuki na uhasama mkubwa kwa mafisadi ndani na nje ya chama. Unapaswa kuchukua tahadhari zote za msingi.
Baada ya mtikisiko mfupi, utazidi kuwa imara zaidi na nyota yako itang'ara. Kila LA kheri katika Majukumu yako ya Kibunge, saidiana na Mh. Polepole kukiimarisha chama na kumuunga mkono kwa dhati Mama Yetu Samia Suluhu Hassan. Uamuzi wake usikurudishe nyuma, Songa Mbele
hiv kuna ukweli wowote kuhusu hii issue?Jiandaeni mapandikizi ya nchi jirani. Next move ni mnafanyiwa vetting ya uraia.
Mliona Tanzania kichaka sana wezi nyie.