Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wenu wa kujifanya watoto wa Ikulu.hata hivyo,kaweka record
Mama kapiga deki jengo jeupeTeamJPM mmechanganyikiwa.
Haya maisha bana sasa hivi Bashiru wana fanana ana Halima Mdee muda wowote spika anaweza kumwambia la chini acha kelele 🙆Hongera sana mkuu kwa post murua
Binafsi nimevunjika Moyo hasa kwa Bashiru na Jaffo japo nimeguswa kidogo kwa Kabudi ila sawa no way
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanjia za wizi ambazo hazikubaliki kimataifa yani kwa kupora!Daktari Bashiru ndie Katibu Mkuu aliyetuvusha kurudisha majimbo yote CCM,hii ni historia na itakumbukwa.
Kabisa yaani yeye na Jah people wa makambako hana tofauti na DR Bashiru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Haya maisha bana sasa hivi Bashiru wana fanana ana Halima Mdee muda wowote spika anaweza kumwambia la chini acha kelele [emoji134]
Wewe tangu lini uliwahi kuikosoa CCM?Naunga mkono hoja!
CCM mbele kwa mbele
TuuKakaa Ikulu mwezi mmoja.
Walikuwa wanamfanyia majaribio sasa kashindwa
Mungu wao kawatokaAlijua Mungu yupo upande wao tuu
Ngojeni uchunguzi wa special Audi ya BOT nyie team Jiwe ndio muanze kujitetea! Huko nyuma mwalimu enzi zake alikuwa na wafuasi wengi lakini baada ya kufa wengi wao waliikana imani yake ya ujamaa!!! Kwahiyo Jiwe hatakuwa wa kwanza kukanwa!!! Chama chenu ni cha wanafiki. Bashiru sasa anaisoma namba!!!
Majizi wakubwa leo hii mnalia sana kwa mtu wenu kufurumushwaDaktari Bashiru ndie Katibu Mkuu aliyetuvusha kurudisha majimbo yote CCM,hii ni historia na itakumbukwa.
Umekosea kusema Makonda au?Hana skendo mbaya BOT ila ukanda na ukabila ndo unamponza, sasa makonda anapeta