Dkt. Bashiru: Siyo kweli kwamba CCM itatumia wingi wao Bungeni kubadilisha Katiba ili kumuongezea muda Rais Magufuli kukaa madarakani!

Dkt. Bashiru: Siyo kweli kwamba CCM itatumia wingi wao Bungeni kubadilisha Katiba ili kumuongezea muda Rais Magufuli kukaa madarakani!

Katibu mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru amekanusha uvumi unaoenezwa na wapinzani kwamba wabunge wa CCM watatumia wingi wao bungeni ili kumuongezea Rais Magufuli muda wa kukaa madarakani iwe zaidi ya miaka 10.

Dkt. Bashiru amesema Rais Magufuli atahudumu madarakani kwa miaka 10 kwa mujibu wa katiba ya sasa na kwamba propaganda za wapinzani hasa Chadema zipuuzwe.

Nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama!
Hatakubali kuendelea na urais ijapokuwa wabunge wa ccm wanataka iwe vile lkn juhudi zao zitagonga kwamba sababu katiba haiwezi chezewa ila naamini baada ya muda wake kuisha mabadiliko ya katiba hayakwepeki kea mustakabali wa nchi yetu.
 
Wapinzani wakikosa hoja huwa wanakuja na vioja. Nakumbuka haya waliwahi kuyasema hata ktk miezi ya mwisho mwisho ya utawala wa JK kwamba anapanga kuongeza siku za kukaa madarakan, JK akawajibu kwamba hatozidisha hata dakika 1 ya kukaa madarakan kwa mujibu wa sheria. Sasa leo tena badala ya kuja na hoja zenye mashiko wao wanakuja na hoja za masikitiko.
Deo sanga ni mbunge wa chadema?
 
unapokuwa hulipendi jambo usikosoe kwa kitu ambacho huna uwezo wa kuuumba.ukianza kukosoa maumbile wewe ni mpungufu sana wa akili.mwanadam kaumbwa kwa darja ya juu.ya viumbe wote ana utukufu.wewe kukaa kufananisha na kitu eti kisa hujapenda maoni yake ni ujuha.
kwan kaongea kibaya kipi si ana sababu zake.mbona china wamefanya hivo wew una akili kuwazid wachina??
na naskia urus nao wako mbion kumpa ujemedar kubwa lao putin kwa kazi zake za kiwango
kurudi kwwnye mada wewe mpinzan huna kabisa political tolerance yaan kitu cha kushindana kwa hoja unakimbilia kukosoa maumbile utafikir wewe umejiumba.
Kafana sana na Sokwe kwani nasema uongo ndugu yangu...!
Muongezeeni tu mda Mfalme JUHA atawale milele hakuna shida yoyote.
 
Nadhani unawazungumzia Lipumba, Mbowe na Mbatia!
John omba usajili kutoka kimojawapo ili ubalidi historia hizo basi,ila uweze kupita kwenye usaili na michujo kama sifa unazo ,ikiwa ni pamoja uzalendo halisi,pia na imani katika kukuza na kuendeleza mawazo mbadala kwa dhati na usiye nunulika na kurubuniwa na wasioamini katika mawazo mbadala kwa ujenzi wa taifa letu.
 
Katibu mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru amekanusha uvumi unaoenezwa na wapinzani kwamba wabunge wa CCM watatumia wingi wao bungeni ili kumuongezea Rais Magufuli muda wa kukaa madarakani iwe zaidi ya miaka 10.

Dkt. Bashiru amesema Rais Magufuli atahudumu madarakani kwa miaka 10 kwa mujibu wa katiba ya sasa na kwamba propaganda za wapinzani hasa Chadema zipuuzwe.

Nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama!
Kwahiyo Deo Sanga ni mwana CDM?
 
Ndio.

Hapo Ufipa kuna madaktari wangapi?
Na huyu ni mwana CDM?
Screenshot_20210203-202437.jpg
 
Mbona hata Rais alishaweka wazi hataongeza hata sekunde moja hii ipo wazi kabisa.
Punguza uzuzu wewe kwenye mambo yenye manufaa kwa taifa.
Wabunge mlio watuma kuyasema hayo juu ya kuongeza muda tunawajua na mmoja wao ni huyu hapa
Screenshot_20210203-202437.jpg
 
Wapinzani wakikosa hoja huwa wanakuja na vioja. Nakumbuka haya waliwahi kuyasema hata ktk miezi ya mwisho mwisho ya utawala wa JK kwamba anapanga kuongeza siku za kukaa madarakan, JK akawajibu kwamba hatozidisha hata dakika 1 ya kukaa madarakan kwa mujibu wa sheria. Sasa leo tena badala ya kuja na hoja zenye mashiko wao wanakuja na hoja za masikitiko.
Kwa akili yako na huyu hapa ni mpinzani?
Screenshot_20210203-202437.jpg
 
Back
Top Bottom