pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Dr Bashiru, sidhani kama unawajua vijana wako vyema! wengi wao macho yamewalegea kama wanakula kungu. Labda ujenge kikosi kipya lkn waliopo kushindana kwa hoja na vijana wa upinzani hawawezi hata kwa dawa.