pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Awaache UVCCM,hata yeye na mwenyekiti wake,pamoja na mwenza hawawezi kujibu hoja za wapinzani maana ni ukweli mtupu.Watu wametekwa,wameuliwa,wameshambuliwa,wamebambikiwa kesi,wamezuiwa kufanya siasa,uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliochakachuliwa nchi nzima,wagombea wameenguliwa na mipango ya kuiba kura inafanyika bila kificho.Vijana gani wanaweza kupangua hoja hizo?Wakitumia jukwaa gani kujibia?Dr Bashiru, sidhani kama unawajua vijana wako vyema! wengi wao macho yamewalegea kama wanakula kungu. Labda ujenge kikosi kipya lkn waliopo kushindana kwa hoja na vijana wa upinzani hawawezi hata kwa dawa.
Kamshika Nani?Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako hakiyanani!
Nivigumu sana kuongea usicho amini ukaminiwa,sura huwa inakusutaNimeandika CCM wawe makini na Polepole na Bashiru..sasa UVCCM na TBCCM watafanya nini? Yaani TAL mmoja tu, siasa mmefanya nyie miaka yote mitano bado tu. "kukiwa na tume huru ya uchaguzi CCM wakabidhi Ikulu mapema" Polepole wa UKAWA na bunge la katiba.
Si aseme Ruangwa!!
Dr Bashiru amesema ni marufuku wagombea waliopita bila kupingwa kwenda mikoa mingine kufanya kampeni bali wabakie kwenye mikoa yao.
Dkt. Bashiru amemtaja mbunge mmoja aliyepitishwa bila kupingwa Lindi lakini sasa yuko Mwanza anafanya kampeni na kumtaka kurudi Lindi mara moja akawasaidie wenzie jimboni kwake.
Wakati huo huo Dkt. Bashiru amewataka vijana wa UVCCM kujibu hoja za wapinzani pale pale zinapotolewa bila kuchelewa kwani uongo usipojibiwa unaweza kuaminika.
Maendeleo hayana vyama!
NapeHuu ujumbe unamhusu Majaliwa Kassim Majaliwa??
Mfano mtu kama Bia Yetu😂Dr Bashiru, sidhani kama unawajua vijana wako vyema! wengi wao macho yamewalegea kama wanakula kungu. Labda ujenge kikosi kipya lkn waliopo kushindana kwa hoja na vijana wa upinzani hawawezi hata kwa dawa.
Kwahiyo yeye mwenyewe kujibu hawezi!
Dr Bashiru amesema ni marufuku wagombea waliopita bila kupingwa kwenda mikoa mingine kufanya kampeni bali wabakie kwenye mikoa yao.
Dkt. Bashiru amemtaja mbunge mmoja aliyepitishwa bila kupingwa Lindi lakini sasa yuko Mwanza anafanya kampeni na kumtaka kurudi Lindi mara moja akawasaidie wenzie jimboni kwake.
Wakati huo huo Dkt. Bashiru amewataka vijana wa UVCCM kujibu hoja za wapinzani pale pale zinapotolewa bila kuchelewa kwani uongo usipojibiwa unaweza kuaminika.
Maendeleo hayana vyama!
Wale Mlikuwa Mnawaza Kuingia Barabarani Mshapata Majibu. Huko Kenya Walijaribu WALIKUFA na Kinyatta Aliendelea KUWA Rais. Unajua nyie vijana Wa mitandaoni mkiangalia Vi series Vya kina Scofield na Jacky Bour Mnajiona Mko Marekni. hahaha huku Africa Baranibarani unaningia Kichapo unapata Kilema unapata na hata Kufa na Hakuna uchobadilisha.Malalamiko FC
Kama hawazi kujibu awafanyeje?
Dr Bashiru amesema ni marufuku wagombea waliopita bila kupingwa kwenda mikoa mingine kufanya kampeni bali wabakie kwenye mikoa yao.
Dkt. Bashiru amemtaja mbunge mmoja aliyepitishwa bila kupingwa Lindi lakini sasa yuko Mwanza anafanya kampeni na kumtaka kurudi Lindi mara moja akawasaidie wenzie jimboni kwake.
Wakati huo huo Dkt. Bashiru amewataka vijana wa UVCCM kujibu hoja za wapinzani pale pale zinapotolewa bila kuchelewa kwani uongo usipojibiwa unaweza kuaminika.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio hawa akina Bia yetu chagu wa malunde YEHODAYA kipara kipya jingalao ???Madogo wapo wa kutosha kabisa!
kikosi kazi!Ndio hawa akina Bia yetu chagu wa malunde YEHODAYA kipara kipya jingalao ???
Kama ni hao basi Bashiru atasubiri sana maana ni mabox matupu kabisaa!
Dr Bashiru amesema ni marufuku wagombea waliopita bila kupingwa kwenda mikoa mingine kufanya kampeni bali wabakie kwenye mikoa yao.
Dkt. Bashiru amemtaja mbunge mmoja aliyepitishwa bila kupingwa Lindi lakini sasa yuko Mwanza anafanya kampeni na kumtaka kurudi Lindi mara moja akawasaidie wenzie jimboni kwake.
Wakati huo huo Dkt. Bashiru amewataka vijana wa UVCCM kujibu hoja za wapinzani pale pale zinapotolewa bila kuchelewa kwani uongo usipojibiwa unaweza kuaminika.
Maendeleo hayana vyama!
[Kweli kabisa Katibu]
moja ya mazezeta ya ccmWale Mlikuwa Mnawaza Kuingia Barabarani Mshapata Majibu. Huko Kenya Walijaribu WALIKUFA na Kinyatta Aliendelea KUWA Rais. Unajua nyie vijana Wa mitandaoni mkiangalia Vi series Vya kina Scofield na Jacky Bour Mnajiona Mko Marekni. hahaha huku Africa Baranibarani unaningia Kichapo unapata Kilema unapata na hata Kufa na Hakuna uchobadilisha.
Na Kwa Tanzania serikari inajua Kabisa watakaoingia Barabarani in Wakora wahuni na wavuta Bangi, ika wenye akili Zetu tutakuwa home, Kwa hiyo wataangushiwa kichapo kitakatifu hawatasahau
Dr. Bashiru na yeye anachemka. Ngoja siku akitimuliwa kama mbwa ndo ataijua CCM.
Dr Bashiru amesema ni marufuku wagombea waliopita bila kupingwa kwenda mikoa mingine kufanya kampeni bali wabakie kwenye mikoa yao.
Dkt. Bashiru amemtaja mbunge mmoja aliyepitishwa bila kupingwa Lindi lakini sasa yuko Mwanza anafanya kampeni na kumtaka kurudi Lindi mara moja akawasaidie wenzie jimboni kwake.
Wakati huo huo Dkt. Bashiru amewataka vijana wa UVCCM kujibu hoja za wapinzani pale pale zinapotolewa bila kuchelewa kwani uongo usipojibiwa unaweza kuaminika.
Maendeleo hayana vyama!
Wana maanisha kutukanaHivi kuna kijana uvccm wa kujibu hoja zetu ?