Mwigulu hafai kabisa. Lakini kwanini kila mara unataka kimei ndio awe Waziri wa fedha?? Au kwa sababu kule CRDB aliiba na kujenga apartments Masaki?
Tatizo, Mama akimpa huyu hataweza pitisha ulaji wakeUmefikiri vizuri sana! Naunga mkono hoja! Dr Kimei anatosha kwa nafasi hiyo! Anaweza kuifikisha nchi mahali!
Kuendesha benki uchwara kama crdb na kuwa waziri wa fedha ni vitu viwili tofauti.Ndugu yetu Mwigulu anajifunza kazini na hii wizara inahitaji mtu ambaye anaweza na kujua jinsi ya kutatua matatizo na sio kila siku kubishana na wanasiasa. Matatizo makubwa ni haya ambayo Dr Kimei ndiye anaweza kurekebisha kwa haraka
1. Tatizo la dollar
2. Tatizo la riba kuwa juu
3. Kuanzisha credit rating system Tanzania
4. Nchi yetu kupata bond za uchumi kama kujenga barabara au reli badala ya kuchukuwa mikopo.
Yote haya Kimei atafanya vizient kuliko hawa wanasiasa kama Mwigulu ambao hawana uzoefu wa kutosha. Tuache kuogopa watu ambao ni bosses
View attachment 2743468
Tatizo la Dollar ni universal, acha porojo na itadumu mpaka mwezi wa kumi na mbili ama mpaka mwakani hivi kwasababu FED wameamua kutackle tatizo la mfumuko wa bei nchini Marekani ambapo imeonyesha kuwa na data nzuri za labour market (although ni tight labor market ila inaridhisha). Na wameshasema hawa-cut interest rates mwaka huu.Ndugu yetu Mwigulu anajifunza kazini na hii wizara inahitaji mtu ambaye anaweza na kujua jinsi ya kutatua matatizo na sio kila siku kubishana na wanasiasa. Matatizo makubwa ni haya ambayo Dr Kimei ndiye anaweza kurekebisha kwa haraka
1. Tatizo la dollar
2. Tatizo la riba kuwa juu
3. Kuanzisha credit rating system Tanzania
4. Nchi yetu kupata bond za uchumi kama kujenga barabara au reli badala ya kuchukuwa mikopo.
Yote haya Kimei atafanya vizient kuliko hawa wanasiasa kama Mwigulu ambao hawana uzoefu wa kutosha. Tuache kuogopa watu ambao ni bosses
View attachment 2743468
Bei ya unga haikushuka kwa sababu BOT iliongeza riba. Bali ilishuka kwa sababu ya mavuno makubwa ya mahindi na zuio la serikali kwa wafanya biashara kuuza mahindi nje.Tatizo la Dollar ni universal, acha porojo na itadumu mpaka mwezi wa kumi na mbili ama mpaka mwakani hivi kwasababu FED wameamua kutackle tatizo la mfumuko wa bei nchini Marekani ambapo imeonyesha kuwa na data nzuri za labour market (although ni tight labor market ila inaridhisha). Na wameshasema hawa-cut interest rates mwaka huu.
Kuhusu riba kubwa, Kuna muda mlianza lalamika kuwa bei ya unga Iko juu, B.O.T ikastep in kuongeza riba kushusha inflation although Serikali iliendelea na expansionary fiscal policy ila matokeo umeyaona.
Atakausha sefu zote pale treasury, asilani asipewe kabisa uwaziri wowote, tutakaushwa.Ndugu yetu Mwigulu anajifunza kazini na hii wizara inahitaji mtu ambaye anaweza na kujua jinsi ya kutatua matatizo na sio kila siku kubishana na wanasiasa. Matatizo makubwa ni haya ambayo Dr Kimei ndiye anaweza kurekebisha kwa haraka
1. Tatizo la dollar
2. Tatizo la riba kuwa juu
3. Kuanzisha credit rating system Tanzania
4. Nchi yetu kupata bond za uchumi kama kujenga barabara au reli badala ya kuchukuwa mikopo.
Yote haya Kimei atafanya vizient kuliko hawa wanasiasa kama Mwigulu ambao hawana uzoefu wa kutosha. Tuache kuogopa watu ambao ni bosses
View attachment 2743468
Kwamba ndio ataleta Dola au? 🤣🤣 Akili za kijinga sanaNdugu yetu Mwigulu anajifunza kazini na hii wizara inahitaji mtu ambaye anaweza na kujua jinsi ya kutatua matatizo na sio kila siku kubishana na wanasiasa. Matatizo makubwa ni haya ambayo Dr Kimei ndiye anaweza kurekebisha kwa haraka
1. Tatizo la dollar
2. Tatizo la riba kuwa juu
3. Kuanzisha credit rating system Tanzania
4. Nchi yetu kupata bond za uchumi kama kujenga barabara au reli badala ya kuchukuwa mikopo.
Yote haya Kimei atafanya vizient kuliko hawa wanasiasa kama Mwigulu ambao hawana uzoefu wa kutosha. Tuache kuogopa watu ambao ni bosses
View attachment 2743468
Kwani huko shureni urisomea ujingaMwigulu hafai kabisa. Lakini kwanini kila mara unataka kimei ndio awe Waziri wa fedha?? Au kwa sababu kule CRDB aliiba na kujenga apartments Masaki?