Dkt. Charles Kimei apewe Uwaziri wa Fedha haraka

Dkt. Charles Kimei apewe Uwaziri wa Fedha haraka

Dawa ya jino sio kuziba,Watanganyika tunapaswa kutumia akili kutatua matatizo ya nchi yetu ndio maana tumefika hapa tulipo aula tuwaache wafanye watakavyo,uwezi kutusema tatizo ni mwingulu wakiti matatizo yako kila sehemu kila sector piga chini ccm
Huu ndio ukweli halisi tatizo ni mfumo! Naungana nawe Kwa hili
 
Kuna asijifunza kazini? Kwa taa

Kuna asiyejifnza kazini? Kwa taarifa hakuna chuo cha uwaziri au urais duniani

Naona umekuwa mzito kidogo kuelewa. Kujifunza hapa maana yake ni uzoefu wa “financial management” . Mwigulu amepata uwezo gani wa kuongoza kituo/ sherika gani la fedha ukilinganisha na mafanikio na uzoefu alionao Kimei? Tanzania ya sasa inahitaji mzoefu kutokana na changamoto zipizopo
 
Jamaa ni mkabila sana. Wizara nzima mtajazana wachaga. Halafu muanze kutuvimbia sie kajamba nani? Hapana, ni kweli Mwigulu amepwaya lakini Kimei hawezi kua replacement ya Mwigulu at that angle. Atafutwe mwengine.
 
Ndugu yetu Mwigulu anajifunza kazini na hii wizara inahitaji mtu ambaye anaweza na kujua jinsi ya kutatua matatizo na sio kila siku kubishana na wanasiasa. Matatizo makubwa ni haya ambayo Dr Kimei ndiye anaweza kurekebisha kwa haraka

1. Tatizo la dollar
2. Tatizo la riba kuwa juu
3. Kuanzisha credit rating system Tanzania
4. Nchi yetu kupata bond za uchumi kama kujenga barabara au reli badala ya kuchukuwa mikopo.

Yote haya Kimei atafanya vizient kuliko hawa wanasiasa kama Mwigulu ambao hawana uzoefu wa kutosha. Tuache kuogopa watu ambao ni bosses

View attachment 2743468
Naunga mkono hoja 100%.
Msikie Dr. Kimei
View: https://youtu.be/4Edy6B-GoeA?si=lVYHEiclCZFTTGUv
P
 
Back
Top Bottom