Uchaguzi 2020 Dkt. Charles Kimei Mbunge mtarajiwa Vunjo

Masue 1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
696
Reaction score
1,222

Habari za asubuhi wadau. Hapa Marangu Mamba Komakundi kibaridi ni kikali 12 centigrade.

Wapambe ni wengi nyumbani kwa Dokta Kimei hapa baada ya kujua Dokta atachukua fomu ya Ubunge Jimbo hili la Vunjo kupitia CCM.

Wapinzani wake wengi bado ni wachovu kama DC wa Zamani Chonjo.
Kila la heri Dokta Kimei.

Updates...
Mambo Tayari Dkt. Kimei Ashachukua Fomu.
Your browser is not able to display this video.
 
Ni haki yake ya kikatiba kutia nia kugombea .Ni mtanzania aliyeipaisha sana CRDB ilikuwa inakufa kifo cha mende .Alifanya kazi kubwa kuifufua na kuifanya iwe juu mno hadi leo
Yuko vizuri mno kichwani
 
Kweli kabisa Mkuu. Vip kisambo hapo?

Nilitoka hapo majuzi palikuwa shwar leo ntakuwa safarini kusoge hapo mkuu..


Jina lako linanikumbusha jamaa mmoja anaitwa Masue dereva hiace anasifika sana kwa spidi na muda..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…