Uchaguzi 2020 Dkt. Charles Kimei Mbunge mtarajiwa Vunjo

Uchaguzi 2020 Dkt. Charles Kimei Mbunge mtarajiwa Vunjo

Ni haki yake ya kikatiba kutia nia kugombea .Ni mtanzania aliyeipaisha sana CRDB ilikuwa inakufa kifo cha mende .Alifanya kazi kubwa kuifufua na kuifanya iwe juu mno hadi leo
Yuko vizuri mno kichwani
Kazi ile kwa kiasi kikubwa ilifanywa na wadenishi hadi walipoachia hisa zao miaka ya 2010. Unapomsifia hivyo kumbuka kulikuwa na ngozi nyeupe nyuma yake na walikuwa na karibu theluthi moja ya hisa na ndio waliiokoa miaka ya 1996 isiingie kaburini bila jeneza. Kiufupi ni mchapa kazi sana
 
Nilitoka hapo majuzi palikuwa shwar leo ntakuwa safarini kusoge hapo mkuu..


Jina lako linanikumbusha jamaa mmoja anaitwa Masue dereva hiace anasifika sana kwa spidi na muda..
Hahahaaa Masue Dereva Mkongwe yule hiace Mwika - Moshi anakimbiza.
 
Pia ndie alieipora toka mikononi mwa serikali pindi inaitwa benki ya wakulima akagawana hisa zote 100 na wachaga wenzake. Pia ndie aliefanya asilimia 85 ya wafanyakazi wa crdb wakawa wachaga tu. Mbatia simpendi ila Kimei kwa vile ni ccm ndo kabisaaa
Hapo hausemi ukweli mkuu, kasome vizuri kilichotokea miaka hiyo na uone mgawanyo wa hisa ulivyokuwa na ujue ni kina nani walioiokoa benki hiyo na leo tunawaita mabeberu. Pia ujue Dr. Kimei alitokea taasisi gani kwenda kuiendesha CRDB. Kiufupi kuna mapungufu yalitokea lakini pia kuna mengi mazuri sana yaliyofanyika wakati wa kipindi chake akishirikiana na waliosaidia kuiokoka benki hiyo pamoja na wanahisa wengine. Kasome tena tafadhali mkuu.
 
Nilitoka hapo majuzi palikuwa shwar leo ntakuwa safarini kusoge hapo mkuu..


Jina lako linanikumbusha jamaa mmoja anaitwa Masue dereva hiace anasifika sana kwa spidi na muda..
Ndiye mkuu..?
 
Magufuli ampe Kimei/Mchaga uwaziri wa fedha ?Unaota wewe. Ungejua jinsi Dotto anamvyomcontrol waziri wa fedha aliepo wala usingetamani Kimei kuwa waziri wa fedha. Kimei analenga uwaziri ila ni asilimia ndogo sana Kimei kupata uwaziri kwenye serikali ya Magufuli.
Tena?!
 
Magufuli ampe Kimei/Mchaga uwaziri wa fedha ?Unaota wewe. Ungejua jinsi Dotto anamvyomcontrol waziri wa fedha aliepo wala usingetamani Kimei kuwa waziri wa fedha. Kimei analenga uwaziri ila ni asilimia ndogo sana Kimei kupata uwaziri kwenye serikali ya Magufuli.

Utabili wako ni sahihi kabisa; hata akishinda Jiwe hawezi kumpa uwaziri!!! Crdb branch Chatto imefubgwa halafu mchaga !!!
 
Huyu mambo ya fedha ataweza vema, ila upigaji kutokana na asili yake ya kichaga adhibitiwe.
 
Hata huo uwaziri akimbili hela
Fedha anayoingiza huko kwenye kokoto inamtosha kabisa.....
Tunataka watu kama Hawa kwenye uongozi syo wale wanaochangisha watu Hela ili wapate cheo

Ova
Nani alikuambia hela inatosha wewe ?Hata Jeff wa Amazon anaona pesa haitoshi. Ukiona pesa inatosha jua wewe hauna malengo. Mafanikio ya kipesa hayana limit.
 
nitafurahi huyu mzeee akishinda mbatia hajafanya kitu chochote pale vunjoo zaidi yakuwapa vijana na wazee mbegee....
mfano kero ya mgao wa maji mitaa ya mwika kule msae utafikiri watu wanaishi jangwani bhwana wakati chemchem zipo zakutoshaaa....
 
Kazi ile kwa kiasi kikubwa ilifanywa na wadenishi hadi walipoachia hisa zao miaka ya 2010. Unapomsifia hivyo kumbuka kulikuwa na ngozi nyeupe nyuma yake na walikuwa na karibu theluthi moja ya hisa na ndio waliiokoa miaka ya 1996 isiingie kaburini bila jeneza. Kiufupi ni mchapa kazi sana
Basi alitoa ushikirikiano vizuri .Mimi waswahili ninaowakubali kwa uwezo wao mkubwa wa kuendesha mashirika kwa ufanisi na kuzalisha faida Ni watatu Reginald Mengi,Dr kimei na Dr Idris Rashid yule aliishika Tanesco kipindi fulani
 
Kimei amepata bahati,anasapotiwa mpaka na mules!
Mtu Kama Yuko vizuri hawezi kosa wa kumsifia kila Kona.Alivyoshika CRDB aliitendea haki local banks za wazawa zilikuwa zikionekana haziwezi compete sokoni Ni za kufa akabadili huo mwelekeo as a CEO .Sasa hivi we are proud of CRDB a local strong bank
 
Kimei amepata bahati,anasapotiwa mpaka na mules!
Sio bahati bni performance !!! Inayokubalika kila Kona ya nchi . Matawi strong ya CRDB yako nchi nzima yakitoa quality service pia ndio bank ya Kwanza local toka tupate uhuru iliyofungua Matawi nje ya Tanzania kipindi chake .Dr Kimei lazima asapotiwe performance inambeba mwenye macho haambiwi tazama hahitaji bahati Wala ngekewa
 
Mbatia amelinyea jimbo. Aende zake. Hata upinzani haeleweki. Akapewe ubunge wa viti maalumu vya kina mama. Ana uzoefu navyo, alishaingia mjengoni kwa upendeleo wa Rais. Dume zima!!!!!
Yupo brother mmoja sasa marehemu,alisoma naye Kilimanjaro Boys pale Rombo early 1984/86 anasema huyu jamaa bwenini alikuwa chakula ya wahuni,akiongea kama mtekelezaji ila hamna kitu bure kabisa na sijui kwanini anabebwa bebwa sana.
 
Km namuona waziri wa fedha na mipango, huku mpango mwenyewe akiwa naibu lol
 
Hapo wakuangalia nafasi yake vizuri endapo akipata ubunge ni Bashungwa, sio Mpango.

Huyu atashinda asubuhi tu iwapo CCM itampitisha. Mbatia kakimbia na bilioni 7 za wananchi alizozichangisha kwa ajili ya barabara hadi leo kimya tu.
 
Back
Top Bottom