Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakudanganya ?Hapo analenga uwaziri. Ingekuwa hakuna mshahara unafikiri angegombea ?Japokuwa ana hela ila anataka zaidi. Principal ya maisha ya mtu aliefanikiwa ni kutokuridhika. Hata kama ni bilionea ni mafanikio kwake kuongeza million moja kwenye kiasi alichokuwanacho mwanzo.Huyu aingii ubunge kutafuta hela
Mara 100 watu kama Hawa kuliko Hawa njaa kali
Ova
Magufuli ampe Kimei/Mchaga uwaziri wa fedha ?Unaota wewe. Ungejua jinsi Dotto anamvyomcontrol waziri wa fedha aliepo wala usingetamani Kimei kuwa waziri wa fedha. Kimei analenga uwaziri ila ni asilimia ndogo sana Kimei kupata uwaziri kwenye serikali ya Magufuli.Namhusudu sana Mbatia ni basi tu. Ila Kimei alistahili kupewa ubunge viti maalum na kuwa waziri wa fedha kitambo sana.
Huwa una akili sana mara nyingi, mara chache sana unazisahau (joking) lol 😅Nani kakudanganya ?Hapo analenga uwaziri. Ingekuwa hakuna mshahara unafikiri angegombea ?Japokuwa ana hela ila anataka zaidi. Principal ya maisha ya mtu aliefanikiwa ni kutokuridhika. Hata kama ni bilionea ni mafanikio kwake kuongeza million moja kwenye kiasi alichokuwanacho mwanzo.
Hafai, aliiharibu sana CRDBDuuh, Waziri wa fedha mtarajiwa, kila la kheir
Atakubali kuendeshwa na Dotto na mjomba wake? Maana nayo ni job requirement, ukiwa independent sana wenye nchi hawapendiYap wizara ya Fedha itamuhusu hapo mtaalam huyu wa Uchumi.
Magufuli ampe Kimei/Mchaga uwaziri wa fedha ?Unaota wewe. Ungejua jinsi Dotto anamvyomcontrol waziri wa fedha aliepo wala usingetamani Kimei kuwa waziri wa fedha. Kimei analenga uwaziri ila ni asilimia ndogo sana Kimei kupata uwaziri kwenye serikali ya Magufuli.
Huwa natofautiana na wewe kimtizamo kwenye mambo mengi wewe 'victoire ingabile' Ila kwa hili, umeongea vizuri sana sina cha kuongeza wala kupunguza.Nani kakudanganya ?Hapo analenga uwaziri. Ingekuwa hakuna mshahara unafikiri angegombea ?Japokuwa ana hela ila anataka zaidi. Principal ya maisha ya mtu aliefanikiwa ni kutokuridhika. Hata kama ni bilionea ni mafanikio kwake kuongeza million moja kwenye kiasi alichokuwanacho mwanzo.
Una akili sana we mwanamke Kama vile ulikuwa kichwan mwangu unachukua hizo points unaandika,bravo!Nani kakudanganya ?Hapo analenga uwaziri. Ingekuwa hakuna mshahara unafikiri angegombea ?Japokuwa ana hela ila anataka zaidi. Principal ya maisha ya mtu aliefanikiwa ni kutokuridhika. Hata kama ni bilionea ni mafanikio kwake kuongeza million moja kwenye kiasi alichokuwanacho mwanzo.
Sasa kwanini huyo mpwa asiwe tu wazir ikajulikana mojaMagufuli ampe Kimei/Mchaga uwaziri wa fedha ?Unaota wewe. Ungejua jinsi Dotto anamvyomcontrol waziri wa fedha aliepo wala usingetamani Kimei kuwa waziri wa fedha. Kimei analenga uwaziri ila ni asilimia ndogo sana Kimei kupata uwaziri kwenye serikali ya Magufuli.
Hata huo uwaziri akimbili helaNani kakudanganya ?Hapo analenga uwaziri. Ingekuwa hakuna mshahara unafikiri angegombea ?Japokuwa ana hela ila anataka zaidi. Principal ya maisha ya mtu aliefanikiwa ni kutokuridhika. Hata kama ni bilionea ni mafanikio kwake kuongeza million moja kwenye kiasi alichokuwanacho mwanzo.
KabisaApewe haraka ili akatusaidie wizara ya fedha na hana njaa huyo za kijinga
Naona anaweza kuanza na unaibu kwanza...Duuh, Waziri wa fedha mtarajiwa, kila la kheir
Lakini ukigeugeu wake ni mtaji kwake,je huoni Kimei atachinjwa kwenye ngazi ya kutia nia?Kweli kabisa Mkuu Mbatia hafai yule kigeugeu.