Dotto ni katibu mkuu au umekurupuka?Huelewi utendaji serikalini uliza ueleweshwe.Katibu Mkuu ndiyo Accounting Officer, sisi waelewa tungeshangaa kama waziri angempelekesha KM. Hongera Dotto kwa kujua mipaka ya kazi.
Muhimu hiyo apewe kura mtu smart sana huyu.Siwakubali watia nia/wagombea wengi kwa ticketi ya CCM kwa sababu wengi ni wanafiki na wachumia tumbo . Lakini Dr. Charles Kimei namkubali kwa asilimia 101 na kwa vyovyote ni "Potential Minister" kwenye baraza lijalo. Hivyo nawaomba wana vunjo wamchague fasta ili tumpate waziri asieangaishwa na njaa.
Wewe huijui banking sector na unajiropokea tu. Fuatilia 1998-2018 kaifanyia nini CRDB kwa miaka 20.Hafai, aliiharibu sana CRDB
Bila appreciation ya share price mwana hakuna kitu, maana hata dividend alikua hatoi. Ungeniambia aliyekuwa CEO wa TBL sawa, ila huyu alikuwa na strategy za kujiimarisha yeye kama yeye.Wewe huijui banking sector na unajiropokea tu. Fuatilia 1998-2018 kaifanyia nini CRDB kwa miaka 20.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Dr Kimei ameingia CRDB ikiwa na thamani ya billion 54 na kaiacha inathamani ya trillion 5.3 that is a very impressive record yaani kaongeza thamani mara 1000% mtu kama huyo ata akilipwa million 100 kwa mwezi tunaruhusiwa kufyonza kwa hasira, but it’s justifiable he earned it based on performance.Bila appreciation ya share price mwana hakuna kitu, maana hata dividend alikua hatoi. Ungeniambia aliyekuwa CEO wa TBL sawa, ila huyu alikuwa na strategy za kujiimarisha yeye kama yeye.
TBL??? Hapa tunacompare apple to apple... Kimei kafanya kazi kubwa sana timu yake nyuma.. Sidhani kama atatokea MD mastermind kama yeye..Bila appreciation ya share price mwana hakuna kitu, maana hata dividend alikua hatoi. Ungeniambia aliyekuwa CEO wa TBL sawa, ila huyu alikuwa na strategy za kujiimarisha yeye kama yeye.
Wewe una share CRDB?? Ulikuwa unahudhuria Annual Meetings kule Arusha?? Unafikiri kwanini sisi shareholders tulimwongezea muda baada ya yeye mwenyewe kutaka kupumzika??Bila appreciation ya share price mwana hakuna kitu, maana hata dividend alikua hatoi. Ungeniambia aliyekuwa CEO wa TBL sawa, ila huyu alikuwa na strategy za kujiimarisha yeye kama yeye.
Kwa sababu alikuwa amewahonga rushwa na hizo rushwa zake ndizo zitamfanya akose sifa ya kupewa nafasi ya kuwania ubunge kupitia CCM maana ana nuka rushwa ktk maisha yake ya utumishi kama CEO. Aliwalipa mpaka mtoe machoziWewe una share CRDB?? Ulikuwa unahudhuria Annual Meetings kule Arusha?? Unafikiri kwanini sisi shareholders tulimwongezea muda baada ya yeye mwenyewe kutaka kupumzika??
Mtoa rushwa. Mimi siyo nampinga, ninachosema Mzee Kimei siyo msafi kama mnavyomdhania.TBL??? Hapa tunacompare apple to apple... Kimei kafanya kazi kubwa sana timu yake nyuma.. Sidhani kama atatokea MD mastermind kama yeye..
Hahahaha sawa mkuuKwa sababu alikuwa amewahonga rushwa na hizo rushwa zake ndizo zitamfanya akose sifa ya kupewa nafasi ya kuwania ubunge kupitia CCM maana ana nuka rushwa ktk maisha yake ya utumishi kama CEO. Aliwalipa mpaka mtoe machozi
Kwahiyo alikuwa anatoa rushwa ili nini?? Au hizo rushwa ndio zilipandisha value ya CRDB kutoka 50bn mpaka 5.4trillion??Mtoa rushwa. Mimi siyo nampinga, ninachosema Mzee Kimei siyo msafi kama mnavyomdhania.
Huyu aingii ubunge kutafuta hela
Mara 100 watu kama Hawa kuliko Hawa njaa kali
Ova
Atakuwa waziri viwanda na biashara. Maana pale fedha,Magufuli hawezi kuweka mchaga.Siwakubali watia nia/wagombea wengi kwa ticketi ya CCM kwa sababu wengi ni wanafiki na wachumia tumbo . Lakini Dr. Charles Kimei namkubali kwa asilimia 101 na kwa vyovyote ni "Potential Minister" kwenye baraza lijalo. Hivyo nawaomba wana vunjo wamchague fasta ili tumpate waziri asieangaishwa na njaa.
Kiuongozi huyu ni mtu sahihi lakini tatizo ni chama tu anachogombea sidhani kama tutapata faida ya kumtumia...
Habari za asubuhi wadau. Hapa Marangu Mamba Komakundi kibaridi ni kikali 12 centigrade.
Wapambe ni wengi nyumbani kwa Dokta Kimei hapa baada ya kujua Dokta atachukua fomu ya Ubunge Jimbo hili la Vunjo kupitia CCM.
Wapinzani wake wengi bado ni wachovu kama DC wa Zamani Chonjo.
Kila la heri Dokta Kimei.
Updates...
Mambo Tayari Dkt. Kimei Ashachukua Fomu.View attachment 1502594
View attachment 1506539
Kama alivyowahi kupewa kabla...Mbatia amelinyea jimbo. Aende zake. Hata upinzani haeleweki. Akapewe ubunge wa viti maalumu vya kina mama. Ana uzoefu navyo, alishaingia mjengoni kwa upendeleo wa Rais. Dume zima!!!!!
Mtoto wa Mlaki ajitafakari aixee maana Dkt. Kimei ndio alimlea pale CRDB.Hongera Dr. Sasa mtoto wa Mlaki ajitafakari