Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mipango mnataka afe njaa?
Huyu tunamkubali, aje kuisafisha wizara ya fedha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu tunamkubali, aje kuisafisha wizara ya fedha.
Mimi ninacho shukuru ni kuwa bora hilo jimbo alichue huyo kuliko yule kirusi MbatiaHuyu aingii ubunge kutafuta hela
Mara 100 watu kama Hawa kuliko Hawa njaa kali
Ova
Kipele kimepata mkunaji. Mh Mbatia nenda kachunge mbuzi au tafuta biashara nyingine.
Yap uwezo wake ni mkubwa sana Anastahili Apewe Vunjo.
Yap wizara ya Fedha itamuhusu hapo mtaalam huyu wa Uchumi.
Mbatia amelinyea jimbo. Aende zake. Hata upinzani haeleweki. Akapewe ubunge wa viti maalumu vya kina mama. Ana uzoefu navyo, alishaingia mjengoni kwa upendeleo wa Rais. Dume zima!!!!!
Bado vijana wana mengi ya kujifunza kwa hao wazeeHawa wazee wetu wakae pembeni walee vijana sasa , wawaachie navijana walitumikie taifa lao.
Kwa Sababu Dr Kimei ni tajiri eee?!!!Kipele kimepata mkunaji. Mh Mbatia nenda kachunge mbuzi au tafuta biashara nyingine.
Magu hua hapendi watu wenye akili sana na watendaji kindakindaki kama Kimei..Si unakumbuka upumbavu aliofanya kwa Ustaadhi Asad...Huyu akigombea na akishinda Magu anampa uwaziri fasta
Kwahiyo yule kirusi wenu Mbatia humtaki tena?
Huyu Mbatia wa Ukawa?
Kweli Mkuu hamna namna akaishi na Mama Tanzania yakeMbatia asubiri ubunge wa kuteuliwa tu
Namhusudu sana Mbatia ni basi tu. Ila Kimei alistahili kupewa ubunge viti maalum na kuwa waziri wa fedha kitambo sana.
absolutelyHe is Good