Kumbe mkuu una maono makubwa ndani yakoNaunga mkono hoja,
Kuna kitu nilimwambia Mbatia.
Huyu ndiye MOF wa awamu ijayo.
Bye bye Mbatia!
P.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mkuu una maono makubwa ndani yakoNaunga mkono hoja,
Kuna kitu nilimwambia Mbatia.
Huyu ndiye MOF wa awamu ijayo.
Bye bye Mbatia!
P.
Huyu mzee apumzike ataharibu heshima ambayo ameiweka
Habari za asubuhi wadau. Hapa Marangu Mamba Komakundi kibaridi ni kikali 12 centigrade.
Wapambe ni wengi nyumbani kwa Dokta Kimei hapa baada ya kujua Dokta atachukua fomu ya Ubunge Jimbo hili la Vunjo kupitia CCM.
Wapinzani wake wengi bado ni wachovu kama DC wa Zamani Chonjo.
Kila la heri Dokta Kimei.
Mwakeye
Vunjo haijawahi kutekwa na chama chochote...unapewa miaka yako mitano unaachwa...hawarudishi mtu bungeni mara mbiliKimei ndio Karata pekee ya CCM inayoweza kushinda Vunjo, hapo pekee ndio wanaweza kulikomboa jimbo.
Uzuri wa uchaguzi hauangalii wewe ni nani au umewahi kuwa nani... ukiamua kukutupa mkono unakutupa tu
Habari za asubuhi wadau. Hapa Marangu Mamba Komakundi kibaridi ni kikali 12 centigrade.
Wapambe ni wengi nyumbani kwa Dokta Kimei hapa baada ya kujua Dokta atachukua fomu ya Ubunge Jimbo hili la Vunjo kupitia CCM.
Wapinzani wake wengi bado ni wachovu kama DC wa Zamani Chonjo.
Kila la heri Dokta Kimei.
Mwakeye
heri jimbo wapewe sisiem lakini sio Mbatia,shenzi sana arudi kwenye viti maalumu na kina mama wenzie
Kwa hyo minister anakuwa Kama puppetYeye ni spesho case..anaamua mafungu yatoke au yasitoke
Huyu ni mtu makini sana. Kongole ziende kwa chama chochote ambacho kitamuamini na kumpa nafasi, haijalishi iwe ni chama tawala ama cha upinzani.
Habari za asubuhi wadau. Hapa Marangu Mamba Komakundi kibaridi ni kikali 12 centigrade.
Wapambe ni wengi nyumbani kwa Dokta Kimei hapa baada ya kujua Dokta atachukua fomu ya Ubunge Jimbo hili la Vunjo kupitia CCM.
Wapinzani wake wengi bado ni wachovu kama DC wa Zamani Chonjo.
Kila la heri Dokta Kimei.
Mwakeye
Marangu na Mamba Ni maeneo tofauti halina kitu Kama marangu mamba.
Habari za asubuhi wadau. Hapa Marangu Mamba Komakundi kibaridi ni kikali 12 centigrade.
Wapambe ni wengi nyumbani kwa Dokta Kimei hapa baada ya kujua Dokta atachukua fomu ya Ubunge Jimbo hili la Vunjo kupitia CCM.
Wapinzani wake wengi bado ni wachovu kama DC wa Zamani Chonjo.
Kila la heri Dokta Kimei.
Mwakeye
Kha! Eti Marangu Mamba Komakundi. Huyo alieandika hivyo atakuwa mpiga debe wa mabasi ya mwikaMarangu na Mamba Ni maeneo tofauti halina kitu Kama marangu mamba.
HaiwezekaniDuuh, Waziri wa fedha mtarajiwa, kila la kheir
Pesa inamtosha mtu? Pesa sabuni ya rohoHuyu aingii ubunge kutafuta hela
Mara 100 watu kama Hawa kuliko Hawa njaa kali
Ova
Ni haki yake ya kikatiba kutia nia kugombea .Ni mtanzania aliyeipaisha sana CRDB ilikuwa inakufa kifo cha mende .Alifanya kazi kubwa kuifufua na kuifanya iwe juu mno hadi leo
Yuko vizuri mno kichwani