100% Mbowe is on mission aisee..Hahaha hapo kwa Mbowe lipo wazi.
Tuombe uzima... Muda ni msemakwwlinakushukuru kwa kuelewa kwamba Lowassa alishinda kwa zaidi ya kura mil 10 na aliyepata mil 3 unusu ndio akatangazwa , lakini elewa kwamba wengi watapiga kura kwa Lissu na hasa baada ya kufichua kwamba hatakubali kuibiwa
100% Mbowe is on mission aisee..
Mbowe was running on the corridors of White House akiwa mdogo, Mwalimu alikuwa akienda kikazi Kilimanjaro analala Machame kwa Mzee Aikaeli na sio Ikulu ndogo. Kuna watoto wa kike wa Mwalimu wamesoma Machame Girls na kabla ya kurudi likizo shule zikifungwa wanaenda kwa Mzee Aikaeli..
Haya yote na ukiangalia siasa za Mbowe na fix zake utajua tu kuna kitu..
huwezi kusema unamfahamu mtu hapa jf , utajidanganyaYani unataka kuniambia wewe unaifahamu Vunjo kuliko mimi? Hahaha bado una marue rue ya kutoswa jimbo wewe.
Uliza saccos za kina mama kule na training jinsi ya kutunza fedha zao, harambee za mashule na barabara, kituo cha polisi center Marangu mtoni n.k
Mbowe na hata mdee ni maafisa wa usalama kitambo Sanaa.100% Mbowe is on mission aisee..
Mbowe was running on the corridors of White House akiwa mdogo, Mwalimu alikuwa akienda kikazi Kilimanjaro analala Machame kwa Mzee Aikaeli na sio Ikulu ndogo. Kuna watoto wa kike wa Mwalimu wamesoma Machame Girls na kabla ya kurudi likizo shule zikifungwa wanaenda kwa Mzee Aikaeli..
Haya yote na ukiangalia siasa za Mbowe na fix zake utajua tu kuna kitu..
uongo utakusaidia nini ?Mbowe na hata mdee ni maafisa wa usalama kitambo Sanaa.
Mbatia tangu Yupo kili boys Enzi baba yake mkulima bora wa kahawa kilimanjaro.
Idara imetapakaa Sanaa na Lissu atatulizwa tu.
Sijui Hawa watu, wanakwepakanaje
Mbowe na hata mdee ni maafisa wa usalama kitambo Sanaa.
Mbatia tangu Yupo kili boys Enzi baba yake mkulima bora wa kahawa kilimanjaro.
Idara imetapakaa Sanaa na Lissu atatulizwa tu.
Sijui Hawa watu, wanakwepakanaje
Ina maana EL alishinda japo Ccm ilivuna majimbo mengi ya ubunge kuliko 'Ukawa'?...inawezekana hilo kutokea?...Hata octoba ya 2015 Magufuli hakushinda , Kikwete , Kinana , January na Lubuva wanajua , lakini Lissu siyo Lowassa , ukitaka matokeo kamili njoo PM
huwezi kusema unamfahamu mtu hapa jf , utajidanganya
System ya Tanzania ni ngumu sana mpinzani kupewa nchi.. Sababu kubwa ni hao wapinzani wenyewe ni mapandikizi ya TISS..Mbowe na hata mdee ni maafisa wa usalama kitambo Sanaa.
Mbatia tangu Yupo kili boys Enzi baba yake mkulima bora wa kahawa kilimanjaro.
Idara imetapakaa Sanaa na Lissu atatulizwa tu.
Sijui Hawa watu, wanakwepakanaje
kuna majimbo zaidi ya 100 ccm haikushinda japo ilitangazwa , likiwemo jimbo la KyelaIna maana EL alishinda japo Ccm ilivuna majimbo mengi ya ubunge kuliko 'Ukawa'?...inawezekana hilo kutokea?...
Kuna majimbo mengi tu wapinzani walishinda ila wakurugenzi wakawatangaza wagombea wa CCM. Mfano jimbo la Nyamagana, Wenje alishinda ila Mabula ndio alie tangazwa.Ina maana EL alishinda japo Ccm ilivuna majimbo mengi ya ubunge kuliko 'Ukawa'?...inawezekana hilo kutokea?...
mbatia hovyo kabisaAfadhali tumpe kimei jimbo kuliko kulirejesha kwa mbatia...
πππππ Parole panamtosha huyo..
Kitendo cha Kimei kipitishwa kamati kuu akiwa mshindi wa pili ni ishara tosha wana mipango nae..
lugola angehamishia makao ya polisi chato angepita ubunge..ni shukurani kwa kujenga tawi la crdb kijijini kwa bwana mkubwa Chato.
Mmhheri jimbo wapewe sisiem lakini sio Mbatia,shenzi sana arudi kwenye viti maalumu na kina mama wenzie
Chadema Vunjo anagombea Grace Kiwelu japokua kwa jimbo la Vunjo Chadema hawana Rekodi nzuri hapo.Okay, Asante kwa update. au CDM wamemrudisha John Mrema?
Hiyo ni kweli.Kuna majimbo mengi tu wapinzani walishinda ila wakurugenzi wakawatangaza wagombea wa CCM. Mfano jimbo la Nyamagana, Wenje alishinda ila Mabula ndio alie tangazwa.
Ili mgombea wa upinzani atangazwe mshindi ni mpaka damu imwagike au vurugu zitokee.
Hivyo kuna uwezekano mkubwa 2015 wagombea wengi wa CDM walishinda ila hawakutangazwa.