Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Waitse shisewa nepfo warumu.
Apaa ngete kyawa kyii alohia seee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waitse shisewa nepfo warumu.
Hivyo ndivyo tulivyoaminishwagwa kuwa huko tu ndo kuna asomi. Kumbe hata Waha na Wagogo wanamaprofesa 😲. Mie sikujuaga kama hata wasukuma wako waliosoma. Magu kanifanya nijue Kumbe kila mkoa/kanda wako walioendaga shule.Nahuko Kilimanjaro/Moshi kwa wasomi bado wanaichaguaga CCM?
una matatizo basiHivyo ndivyo tulivyoaminishwagwa kuwa huko tu ndo kuna asomi. Kumbe hata Waha na Wagogo wanamaprofesa [emoji44]. Mie sikujuaga kama hata wasukuma wako waliosoma. Magu kanifanya nijue Kumbe kila mkoa/kanda wako walioendaga shule.
ohh mkuki kwa nguruwe kwa mataga mchunguKunywa maji kwanza sister
Kwamba Mangi atapewa cheo cha kua waziri wa fedha?atapewa na nani mzee baba?Huyo Kimei tumemweka tu hapo kama geresha, hilo jimbo tumesha andikishana tumpe mbatia .ni kati ya Yale majimbo 20, Kimei hata akishinda hatatangazwa na yeye analijua hilo.na Kimei tutamteua na kumpa waziri wa Mipango na Soto James atabaki wizara ya fedha .Tunaenda kuzigawanya hizo wizara
Jana kajiunga rasmi TWITTER madongo aliyopigwa kule sijui kama atarudi tena.
Asante kwa maoni yako. Ni kweli nilikaririgi kuwa wale jamaa ndo werevu wa kila kitu na bila wao mambo hayaendi. Kuwekwa kwao kando awamu hii, kumekuwa ndo baraka ya makabila mengine.una matatizo basi
yani magu ndo amekufungua akili basi mda sio mrefu atakufunga tena
Umeanza vizuri ila hapo mwisho sasa pana ukakasi ila tuwaachie wana vunjo nawaaminia huwa hawapindui wakisema no haibadiliki muda utaongeaCharles Kimei hajulikani jimbo la vunjo na Kitendo cha halmashauri Kuu ya Kamati kuu ya CCM kukata Jina la inock koola zadock mtoto wa Tajiri wa kimarangu Mzee Koola(Mmiliki wa makampuni ya Zadock A1outdoor Africa), ambaye alishinda kura Za maoni imeigawanyisha CCM jimboni vunjo pande mbili, wanao muunga mkono kimei na wale walichukizwa na kitendo cha koola kukatwa. Palikuwa hakuna shamrashara kimei alivyotangazwa kama mgombea wa ubunge CCM vunjo. Pili, kulazimishwa kustaafu CRDB, wananchi wa vunjo wanajua Magufuli alishauri astaafu kuliko kutumbuliwa kwa kashfa ya kulipwa mil 45 kwa mwezi. Hawa ndio wale waliomchukiza magufuli kwa kulipwa zaidi ya mil 40 kwa mwezi na alisema hadharani.
Nae James Mbatia alivyoshinda ubunge 2015 alilikacha jimbo na hakufanya kitu na alikuwa anaonekana kwa nadra sana jimboni humo. Alichangisha kila kaya 20,000 Za kuchonga barabara Jambo ambalo halikulitekeleza na limewaudhi wananchi jimboni humo. Hawataki kumsikia, Jambo jingine ni kwamba mbatia ushindi wake wa 2015 ulibebwa na ukawa na dhana kwamba lowassa angekuwa Rais na mbatia kuwa waziri wa elimu lakini hicho kitu hakipo kwa sasa kila chama kinajigemea hata Chadema ilimsaidia ashinde 2015, mwaka huu wameweka mgombea grace kiwelo.
Vunjo wanachagua mtu na sio chama, ambaye ana historia nzuri vunjo ni Augustine Mrema na akicheza karata zake vizuri anachukua jimbo.
Hahaaaa wakyiii seeWaitse shisewa nepfo warumu.