Dkt. Charles Kimei: Samia amefanya makubwa Vunjo

Alizopata tangu akiwa CEO CRDB na mali chungu nzima alizonazo lakini bado haridhiki anahangaika kutaka kupewa tena ubunge ??
Actualy hakuwa na moango wa kuwa politician, mwendazake ali force ila amfanye waziri wa fedha, bahati mbaya akatanglia, sasa kimei amebaki ana hang

No offense huyu mzee bado ana hela hata before siasa
 
Huwa nawashangaa wananchi wa vunjo eti walimchagua huyu kimei🚮
Unamfananishq kimei na mbatia?au Kimei na yuke mpuuzi wa chadema toka uru eti anataka kuwa mbunge wa Vunjo.
 
we note...we keep on noting..we keep.memory
 
Hili zee sijui nani alilishauri liingie kwenye siasa..mvuto halina,vivu
 
Aseeeh! Kimei hata wewe umegeuka kuwa Chawa!
Wewe ni mbunge
. Tukuulize zile millioni 500 mnapewa za kusaidia jimbo uliweka kwa mfuko wa nyuma au! Duuh kweli bado tunayo safari ndefu!
Wananchi wa Maeneo mengi tumeona wanajitolea wenyewe kutengeneza mabarabara kwa gharama zakwao wakati TARURA wapo! Leo tunaelekea chaguzi ndio mambo ya hovyo kama haya!
 
Kwani wewe Kimei umefanya nini kama yote amefanya Raisi?
Uchaguzi ujao kaa pembeni wenye uwezo wafanye kazi kwani wewe umeungama hukufanya kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…