Dkt. Charles Kimei: Samia amefanya makubwa Vunjo

Dkt. Charles Kimei: Samia amefanya makubwa Vunjo

Kwani wewe Kimei umefanya nini kama yote amefanya Raisi?
Uchaguzi ujao kaa pembeni wenye uwezo wafanye kazi kwani wewe umeungama hukufanya kitu!
Amefuatilia hadi serikali chini ya SSH ilafanya mamboz,ulitaka afanye nini cha ziada ?
 
Andika jina la mumeo na unajua mimi naitwa nani? jina ni la baba ako?
Ni Mangi alieficha jina lake ili tu atukane matusi kwenye mitandao ,hivi kweli unategemea kuitwa baba fulani au unaitwa baba fulani?familia yako kama ipo ni lazima tuiombee wasije rithi tabia za ajabu kama zako ,hivi utakuwa umejichubua ili ufanane na Netanyau halisi ehe?🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Ni Mangi alieficha jina lake ili tu atukane matusi kwenye mitandao ,hivi kweli unategemea kuitwa baba fulani au unaitwa baba fulani?familia yako kama ipo ni lazima tuiombee wasije rithi tabia za ajabu kama zako ,hivi utakuwa umejichubua ili ufanane na Netanyau halisi ehe?🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Tetetete yaani wewe UWT ni hatari sn
 
Back
Top Bottom