Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
WanamuogopaJonijo wale jamaa waliomzunguka wote wanashndwa mshauri!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanamuogopaJonijo wale jamaa waliomzunguka wote wanashndwa mshauri!?
Ni kanimonia kadogo tuHii bagosha!
Hizi zingine sasa ni kumsingizia Mungu.
Muda wa kupaza sauti:
"We can't breathe!
Jonijo wale jamaa waliomzunguka wote wanashndwa mshauri!?
Kwani kushindwa kupumua kunasababishwa na Corona tu???. Maana naona umeweka mambo ya kujisanitaizi.Usisubiri kutangaziwa kuchukua tahadhari juu ya afya yako !!
Kikubwa jilinde ww na familia yako,,,
Sanitaiza
Epuka mikusanyiko
Mitoko isio na lazima epuka,,,
Vaa mask !
Matatizo ya kushindwa kupumua Ni mengi Sana yanaibuka kila kukicha,,,,
Kwa hiyo unataka awafungie watu ndani??Mtu mmoja ana uwezo hadi wa kuamua hatima ya afya za mamilioni ya watu.
Kweli tuna katiba sio ya kijinga tu ni ya kipumbavu kabisa. I lost a person of my family today in the morning kwa changamoto ya upumuaji.
Tuendelee kupiga nyungu. Mitano tena
Mpumbavu mkubwa wewe moshi imekufanya nn wewe matako??Mbona wakodisha magari pale Biafra wanalia biashara ngumu, kwamba hata Moshi hawaendi sana?
Hahahaaaa...... Manka umeshafuraaaass!Mpumbavu mkubwa wewe moshi imekufanya nn wewe matako??
Hizo chuki zako zitakuuwa mwenyewe
Tena wewe utakua mchawi
Unachuki hadi matakoni bahati nzur huwez kuwafanya chochote hao shemeji zangu
Utaumia mwenyewe tuu
Kwani una duka la zile nguo nyeupe,au katakana ya yale makabati ya kulala,au zile gari za kukodi.Mbona unawaombea wa upande huo mabaya.Mbona wakodisha magari pale Biafra wanalia biashara ngumu, kwamba hata Moshi hawaendi sana?
Maana mnadai Jf tanzia zimezidi!Kwani una duka la zile nguo nyeupe,au katakana ya yale makabati ya kulala,au zile gari za kukodi.Mbona unawaombea wa upande huo mabaya.
Tunadai au zinatujia humu.Maana mnadai Jf tanzia zimezidi!
Zinachimbuliwa za mwaka jana!Tunadai au zinatujia humu.
Soma na tarehe tupe za mwaka Jana.Zinachimbuliwa za mwaka jana!
Acha ujinga wewe kigagulaWapambe wa chama cha mbogamboga toka lini mkapata akili.
Kwa nini mdanganye mmeifurumusha changamoto ya upumuaji kwa maombi?
Siku ikila kichwa mzazi wako au mwanao ndio utajua we fala tu mbele ya hao unaowatetea.
Achana na huyo taahiraKwani una duka la zile nguo nyeupe,au katakana ya yale makabati ya kulala,au zile gari za kukodi.Mbona unawaombea wa upande huo mabaya.
Huyu kafa kwa pneumonia?Pneumonia ilaaaniwe